Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

CDM Ni chama kubwa.kikikosa mgombea uRais tuwe tayari kutumia bilion 300 zilizotengwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu October kwa kazi zingine Mfano. SGR
Hakuna kitu hapo! Ccm itaendelea na uchguzi kama kawa
 
Mwanahabari wa Loketo tupe link ya muungurumo live wake leo
 
15:04 no answer, au wanasubiri maagizo kutoka juu ,kwa yesu wa chato?
 
Muda mwingine Chadema ni hopeless. Wenzao walipeleka fomu zao jana na juzi wao wakajifanya vidume.. Wakaenda leo sujui wana lalamika nini. Utoto tuu. Nimesha wachukia tayari..
Wewe ndiyo hopeless nini ulichoandika hapa unaelewa kinachoendelea kweli wewe
 
Hopeless ni wewe, unajua sheria inasemaje katika kurejesha fomu? Kuna time restrictions!
Muda mwingine Chadema ni hopeless. Wenzao walipeleka fomu zao jana na juzi wao wakajifanya vidume.. Wakaenda leo sujui wana lalamika nini. Utoto tuu. Nimesha wachukia tayari..
 
Muda mwingine Chadema ni hopeless. Wenzao walipeleka fomu zao jana na juzi wao wakajifanya vidume.. Wakaenda leo sujui wana lalamika nini. Utoto tuu. Nimesha wachukia tayari..
Ratiba ni leo..pia kuna draft

Hata sijui unaleta hoja gani hapa
 
Tume wanahisi yapo makubaliano ya siri kati ya Lissu na vyama vingine vya upinzani kama ACT etc kwamba Lissu akipitishwa tu na Tume basi vyama vingine visirudishe fomu.
Mfano wanahofu akianza Lissu kabla ya Membe huenda baada ya Lissu kupitishwa Membe anaweza kuahirisha kurudisha fomu.
Lengo la tume ni kuhakikisha kura za upinzani zinagawangika. Baada ya vyama kadhaa vikubwa kuteuliwa ndipo atakaporuhusiwa Lissu. Na baada ya hapo hakuna kujitoa hata sijui Membe au NCCR wakitaka kujitoa tume itakataa itasema imeshachapisha karatasi za uchaguzi, hivyo majina ya vyama vyote kama yalivyo yatatokea kwenye karatasi za kupigia kura tarehe 28 Octoba
 
Huyo aliyejenga FlyOver, kununua mandege na kujenga mabarabara haamini kuwa hayo mandege yatampigia kura!? Aliyesema nchi imekabidhiwa kwa washamba na malimbukeni hakukosea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…