Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

We jamaa ficha ujinga wako basi,
 
Kuna mpango unasukwa. Si bure!

Nahisi kuna mgombea moja ambaye atakuwa sacrificed ili Lissu asionekane amekatwa peke yake. Machale yangu yananiambia ni Rungwe!!
Kwa kosa la kugawa ubwabwa[emoji2][emoji2][emoji119][emoji119],leo ndio leo...kumchinja kobe ni timing...
 
Kwa uhuni unaoendelea leo nimethibitisha pasi na shaka dikteta anahusika na tukio la kutaka kumwua Lissu la tarehe 7/9/2017
 
Kama Membe karudisha fomu Sina shida Hata wampitishe Tundu Lisu kugombea Zanzibar Lisu hapati kura kigoma na popote walipo wapemba na waislamu Tanzania bara na visiwani hapati kura
Kwa nini asipate kura?
 
Trick iliyotumika ni kumchelewesha Lissu asirudishe mapema ili Membe asijtoe huku formu za majina na picha za wagombea zikiandaliwa.

Pia kanuni zinasema chama kikisharudisha fomu NEC ni kosa kujiondoa baada ya hapo.

ACT na CDM mkagawane kura, kijani washinde tena uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…