Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Usim batize usie mjua boss. Angalia niko hapa jamvini miaka mingapi? Fuatikia michsngo yangu kama ni ya kiLumumba. Lakini pia huwa sipendi ujinga. Tuwe wakweli, kama fomu za Lisu zitakuwa na makosa leo ina kuwaje?Naona UVCCM waliokuwa wamejificha kwenye makabati wameanza kutoka kama mijusi inatafuta juaβ¦
Hahaha..jamaa mgombea yeye mgombea mwenza yeye na chama yeye.CCK panga Hilo...
hiyo ni intelligence mkuu..Sababu za CCK kukatwa zipo wazi
Ngoja tuendelee kuhakiki wadhamini wenu sasa mlishindwa kuhakiki huko kwenye majimbo mlikuwa mnahangaika na mikutano tu!Kujifurahisha ni haki yako, na hata ikiwa nawe WAJUA kuwa, unalazimisha kujifurahisha
Achana nao hawa pumba hawajielewi, huwa wanasema hapa kila siku hakuna atayempigia Lissu kura na Meko atapata 90%+ mara leo hatapata baadhi ya maeneo kama Membe amepitishwa, hawajielewi hawa!!Kwani akipata kura nyingi bila zanzibar katiba inakata kuwa rais kwenye uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi. Uwe unasoma na katiba pamoja na sheria badala ya kusema kila unachowaza.
ππHahaha..jamaa mgombea yeye mgombea mwenza yeye na chama yeye.
Mgombea wa Chadema anapitishwahiyo ni intelligence mkuu..
Ila wacha tuone
ππNgoja tuendelee kuhakiki wadhamini wenu sasa mlishindwa kuhakiki huko kwenye majimbo mlikuwa mnahangaika na mikutano tu!
Hawakuwa makini hawa.Hahaha..jamaa mgombea yeye mgombea mwenza yeye na chama yeye.
Hata hujaelewa kinachosemwa hapa, Ufipa ni watu wa ajabu sana.Mbona wadhamini wa JPM hawakuhakikiwa masaa yote hayo? "I smell a rat. A very big one."