Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Wooowhaaaa[emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji485][emoji898][emoji112][emoji112][emoji112]
 
wazee tuambieni huko tundulissu kapitaa? maana huku hatuna umeme leo toka saa 5
 
Mi mwanamme wangu angekuwa Chadema leo hamna kula.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...tena ungeniita nikubebe bureeee kabisa bila bride price.
 
Mtatufanya nini nyie watz waoga, malofa na wapumbavu ?
 
Nani kaizuia?
Soma uelewe siyo kukurupuka tu!
Mnang'ang'ania itangaze wakati inahakiki taarifa zake, na kwa ujuha wake aliweka wazamini mil 2 wakati waliotakiwa ni elf 2. Sasa kuhakiki watu mil 2 unadhani mchezo
 
Kama hawajamtangaza, basi , watamkata.
Tnachoomba ni usalama wake kwa sasa ndicho kilichobaki!
 
Alikua bize kuzurura mikoani fomu hapeleki kwa wasimamizi,halafu anjiita mwanasheria nguli
 
Unataka yupi awe wa mwisho?! Au atoke usiku?
 
Inatakiwa tuionyeshe dunia Tz ilivyo staarabika, huyo Loketo akiitisha maandamano sijui nini wote tuuchune kimya. Dunia itatuheshimu sana.
 

Lissu bana hizi ni propoganda za chuoni wakati serikali ya wanafunzi ikiongoza mgomo, usituletee huku uswazi. What if yule mdhamini wako aliyesema anataka kujitoa kukudhamini kaomba mahakama imsaidie ili uweze kufikishwa makamani kesho? Wangekuwa watekaji wangekuvisia ofisi za tume. Wewe unaona kila mtanzania ni mjinga wa kusikiliza na kukubaliana na kila usemacho?
 
Lisu asipitishwe mpaka aweke wazi alichotumwa na mabeberu.
Hii ni Tanzania sio kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…