Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Lisu alikuwa busy kutukana kumbe wazamini hawakuwa na vigezo! Hahaha wakili msomi analo hilo
 
Nadhani wameamua kumchelewesha kuipokea fomu ili asije akateka mazungumzo ya leo!
 
Nafikiri tume inafanya hivi ili kuonyesha uaminifu wao kwa mamlaka iliyowateua. Wanataka kujiridhisha kila kitu ili yule mwenye hofu kuu juu ya Lissu akapate kuridhika.

Hii ni dalili ya mawingu tu. Kwa mwenendo huu wa tume hii, yatatokea mambo mengi ya ajabu tuelekeapo ktk siku ya kupiga kura. Hapo achilia idadi inayotia shaka ya wapiga kura 29Mn+ ambayo imewaweka ktk rekodi zao, ambayo kupitia kwayo watakuwa wameshamuhakikishia mtu wao maalum kutokuwa na wasiwasi wowote ule juu ya hatma yake
 
Ushauri wangu chadema, jazeni watu karibu na ofisi za tume, Yale magari ya wahuni pigeni kiberiti au yapigwe mawe..
 
Sasa hivi wanakula na kushiba basi akili zote na utu wameweka pembeni.
Mnaujua utu nyie watu? Rais aliyekata mshahara wake na kuamua kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote, akili zake zote na nguvu zake zote, mama yake hawezi kitandani yu mahututi, malipo yake ni matusi mitandaoni, tulieni makamanda..[emoji382][emoji382][emoji382]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…