Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Kama atakatwa,halafu chadema wakashidwa kuleta kashkash nchini,ntawaona viazi sana[emoji2][emoji2][emoji2],yaan mbatata kabisa.leo nataka nione jeuri yenu[emoji119][emoji119].
Hawana hiyo jeuri aisee nimaneno tu kupitia keyboard.
 
Angekuwa kahakikiwa ratiba ingekuwa hiyo sasa loketo wenu hajahakiki so ameiongezea tume kazi ngumu, imagine majina mil 2 jamani halafu robo tatu yawe fakelo
Kwani hilo swala la kuhakikiwa ni la kikatiba/kisheria?
Kama ni ndiyo, weka hapa hiyo sheria!
 
Tusubiri tuone.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…