Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Miiko ya Maadili!
Mimi nachoomba mheshimiwa Lissu anyoe nywele zake zifananane na utamaduni wa nchi yetu! The way alivyonyoa haimpi status kimaadili kama anaweza kuwa Rais wa nchi yetu!

This is too personal!!

Kiukweli tangu mheshimiwa Rais kaanza kuondoa mpaka ndevu zake za asili namuona sio halisi!!

#personalopinion
 
Wallah Leo sirudi home, nalala nje kwa raha! Potelea mbali, sio kwa raha hizi, nyenyenyenheeeee sshenzy kabisa!
 
Endeleeni kuota tu

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna taarifa kwamba kishapitishwa, je atakuwa salama usiku huu? Je, kama kweli kapitishwa wahuni wa maccm hawatamuwekea pingamizi ili aenguliwe!? Tusubiri tuone.

Inavyosemwaa...
Walikuwa wanasubiri usiku ufike waweze kumteka na kumpokonya hizo fomu.
Subirini
 
Miiko ya Maadili!
Mimi nachoomba mheshimiwa Lissu anyoe nywele zake zifananane na utamaduni wa nchi yetu! The way alivyonyoa haimpi status kimaadili kama anaweza kuwa Rais wa nchi yetu!
Magufuli wakati anaanza kushika madaraka ya urais alikuwa anafuga ndevu na kuziacha kama ndanda Kosovo baada ya muda akaacha.

Hata lisu kuna mambo atayaacha akiwa Rais
 
Kuna taarifa kwamba kishapitishwa, je atakuwa salama usiku huu? Je, kama kweli kapitishwa wahuni wa maccm hawatamuwekea pingamizi ili aenguliwe!? Tusubiri tuone.
Shibuda na Lipumba wamepewa Dola laki nne advance wamuwekee pingamizi
 
Haya Sasa wanachadema msimuangushe mgombea wenu, maana mlikuwa na woga kuwa jina lake litakatwa na NEC, Nendeni mfundisheni namna ya kuwasilisha hoja zake.
 

Hivi hii nchi ni ya nani? Na nani mwenye haki zaidi ya mwingine hata aamue nani awe nani!!

Kuna baadhi ya watu tukiwa kwenye ofisi za umma ama au taasisi na idara fulani tunajiona tuna mamlaka ya kufanya chochote tutakacho.

Haiko hivyo, hii nchi ina sheria na imesimamiwa na katiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…