Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Kuna surprise gani kurudisha fomu ? Tume Wana akili nyingi ndio maana Lisu kapangwa Kwanza arudishe fomu kabla ya ACT wazalendo akirudisha yeye ndie ajiandae kwa surprise sababu ikifika zamu ya ACt wazalendo anaona Membe huyo.anarudisha fomu

Act wazalendo wangetangulia wangefanyiwa fujo na Chadema na hata kuporwa fomu

Chadema ijiandae kwa surprise sio CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…