Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Iko hivi;
Mda wa lissu kurejesha fomu ilikuwa 12:00-12:15 ila ukiangalia utagundua mda umeshapita na hivyo ni wasaa wa wagombea wengine.
Hii imenipelekea kuhisi yafuatayo;
1.Lissu hajarudisha fomu makusudi kwa kuwa wameshaafikiana na ACT kusimamisha mgombea mmoja,hivyo muda wa ACT ukifika,ni lissu ndie atakaerudisha. Membe hatarudisha fomu yake makusudi ili kumpisha mwenzake,na ndio maana hizi wiki 2-3 hakuwa akijishughulisha waziwazi kama mwenye nia ya that I.

2. Labda lissu anapima upepo wa nguvu ya umma kama kunaweza kuwepo na uprising yoyote(kukinukisha=no lissu-no election).
3.ukimya wa vyombo vya chadema kama kina chadema media sio wa bure,napata shida kuamini kuwa hawatoi updates kwa makusudi,kuna jambo linapikwa jikoni na wanalijua vizuri.

4. Lengo la Lissu na washirika wake ni kuwapa wana ccm surprise ya mwaka kwa kusimamisha mgombea mmoja,maana mpaka sasa ccm hawaelewi chochote kinachoendelea huko.

NB:haya ni mawazo wangu tuu..I stand to be corrected.
Sheria mpya ya vyama vya siasa haitawapa nafasi hiyo,watakachofanya ni kama urafiki kama ilivyo kwa tlp na na ccm.
 
Iko hivi;
Mda wa lissu kurejesha fomu ilikuwa 12:00-12:15 ila ukiangalia utagundua mda umeshapita na hivyo ni wasaa wa wagombea wengine.
Hii imenipelekea kuhisi yafuatayo;
1.Lissu hajarudisha fomu makusudi kwa kuwa wameshaafikiana na ACT kusimamisha mgombea mmoja,hivyo muda wa ACT ukifika,ni lissu ndie atakaerudisha. Membe hatarudisha fomu yake makusudi ili kumpisha mwenzake,na ndio maana hizi wiki 2-3 hakuwa akijishughulisha waziwazi kama mwenye nia ya that I.

2. Labda lissu anapima upepo wa nguvu ya umma kama kunaweza kuwepo na uprising yoyote(kukinukisha=no lissu-no election).
3.ukimya wa vyombo vya chadema kama kina chadema media sio wa bure,napata shida kuamini kuwa hawatoi updates kwa makusudi,kuna jambo linapikwa jikoni na wanalijua vizuri.

4. Lengo la Lissu na washirika wake ni kuwapa wana ccm surprise ya mwaka kwa kusimamisha mgombea mmoja,maana mpaka sasa ccm hawaelewi chochote kinachoendelea huko.

NB:haya ni mawazo wangu tuu..I stand to be corrected.
Unawaza kwa kutunia utumbo mpana?
tapatalk_1598348692293.jpeg
 
Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania

Updates
----
Tayari Mweshimiwa Tundu Lissu ambae ni mgombea urais na makamu wake Salum Mwalim wameshafika kwenye ofisi za tume ya Uchaguzi kwa urejeshaji wa Form

View attachment 1547525
Kama kurudisha tuu fomu hamuwezi kutii ratiba je mkipata uongozi si mtalala kabisa? Time factor ni muhimu sana kwenye maisha.
 
Tumehifadhiwa kwenye holding room ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa Dodoma kusubiri kuitwa ndani kwa ajili ya uteuzi!

#TunduLissu2020 #NiYeye2020 #SasaBasi #NguvuYaUmma

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitupangia ratiba ya kuwasilisha fomu za uteuzi kati ya saa 6 na 6:15 mchana huu. Tumefika Tume tangu saa 5:45 asubuhi. Hadi sasa tunasubiri kuitwa ndani kuwasilisha fomu zetu kwa Tume. Wagombea wa CUF ambao walikuwa nyuma yetu kwenye ratiba, wao ruksa!
https://t.co/W1qN5vUz10
Screenshot_20200825-125229_Twitter.jpg
IMG_20200825_125725.jpg
2496859_IMG_20200825_125650.jpg
 
Back
Top Bottom