Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Dalili mbya hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaogopwa na nani?Kwakweli Tundu Lissu anaogopwa mno.
Mipango ovu ya ccm ya kumkataTuwekee na sababu ya kusubirishwa hakuna wa kuuliza hapo?
Hicho hakipo kwenye katiba wala sheria yoyote.Kipengele cha awe Mtanzania wa kuzaliwa na awe ameishi tanzania kwa miaka 5 (Mitano) mfululizo kimemwaga.
yeye si mbishi ngoja aliangalie jengo vizuri akitoka akasimulie uzuri wa korido
Ndio maana Lissu aliona mapema km nabii na alianza kukemea ccm pepo hili chafu tangu magufuli alipoingia tu madarakaniHilo hata malkia wa kuzimu anajua
Maajabu. Kwenye Ratiba Chadema walikuwa mbele ya chama cha Mbatia. Ila naona chama cha Mbatia wameitwa.Wakuu, yajayo yanastaajabisha
View attachment 1547558
Wkt mwingine najiulizaga Hivi anayeshabikia ccm ni mtz kweli?Ssm inaoongozwa na wahamiaji haramu wasioitakia mema nchi yetu
wewe ni ms..nge kwa ujinga mnaofanya si bora mseme nchi ya chama kimojaAcheni ungese kila kitu kulialia tu
Keyboard za Smartphone yako zitakukoma😂😂😂Subiri walete uboya wowote uone
Sawa. We're with you...Wakuu, yajayo yanastaajabisha
View attachment 1547558
Usimfanishe Magufuli na uchafu
Why is this??!!Naona tume umewaruka.View attachment 1547560
Wagombea wote ni sawa mbele ya tume,Lissu ni sawa na Rungwe,Rais Magufuli ni sawa na Wagombea wengine.Wewe usimlinganishe mgombea wa ccm vitu vya kijingajinga
Sgr,hospital, uchumi wa Kati, barabar, elimu bure bado mnashindwa kushindana na mtu ambaye hajafanya chochote!!! Hii ccm bureee kabisa😂😂