Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Daaa
Nimehisi tumbo kuvurugika
Jamaniii
Nimehisi tumbo kuvurugika
Jamaniii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumchelewesha Lissu ni mkakati wa makusudi ili chadema wafanye vurugu, tume ipate sababu ya kumuengua Lissu kwenye kinyang'anyiro cha ugombea kwa madai kwamba amekiuka sheria na kanuni za uchaguzi kwa kusababisha vurugu
Watampitisha ila baada ya wagombea wote then hakuna mgombea kujitoa hapo watakuwa wameumaliza muungano wa ACT na CHADEMA.
habari itakayo trend si nyingne ni TALHazuiliki Lissu
Mropokaji kuliko huyu aliyepo sasa anayeropoka matusi (akidhani ni matani) kwenye hotuba kama mgonjwa wa Mirembe?Kwa nini mnateseka?
mtu mwenyewe ni unfit!
Hata kura milioni moja akizipata ni bahati!
Tangu lini Tanzania ikaongozwa na mropokaji!
Mie nasubiria waseme suu niingie road .nimechoka kuvumilia haya aisee..Tena naanza ofisi za CCM mkoa..namwaga petrolDamu inamwagika kwenye keyboard
ulitaka nije niandike haya maneno kwenye uso wako??NoLissuNoElection in the social media! Hahahahahahaha!
Tume wanahisi yapo makubaliano ya siri kati ya Lissu na vyama vingine vya upinzani kama ACT etc kwamba Lissu akipitishwa tu na Tume basi vyama vingine visirudishe fomu.
Mfano wanahofu akianza Lissu kabla ya Membe huenda baada ya Lissu kupitishwa Membe anaweza kuahirisha kurudisha fomu.
Lengo la tume ni kuhakikisha kura za upinzani zinagawangika. Baada ya vyama kadhaa vikubwa kuteuliwa ndipo atakaporuhusiwa Lissu. Na baada ya hapo hakuna kujitoa hata sijui Membe au NCCR wakitaka kujitoa tume itakataa itasema imeshachapisha karatasi za uchaguzi, hivyo majina ya vyama vyote kama yalivyo yatatokea kwenye karatasi za kupigia kura tarehe 28 Octoba
Ni Aibu kubwa CCM kumuogopa lisu mpaka wanafanya visa pasipo hofu ya munguLissu wanamuogopa sana
Yesu wa burigi ndie anafahamika kuwa mropokaji mahiri. Kawaulize hata mashangazi wa Ntwala na LindiTangu lini Tanzania ikaongozwa na mropokaji!
Mbwa mwitu, mbwa mwitu, unafanya mzaha, mara mbwa mwitu wanakuja kweli unapiga kelele kumbe ni too lateDamu inamwagika kwenye keyboard
Hii ni fita muraa, kila mbinu hutumika ili kipata ushindi. Sasa kama nyie silaha yenu ni kulialia sawa.CCM ndiyo waoga wa ushindani kutwa wanabuni mbinu za kuwahujumu kuwadhoofisha chadema
ondoa hofuDaaa
Nimehisi tumbo kuvurugika
Jamaniii
Jaji kaijage ana ajenda za siri akitoka humo ajue kila kitu kimejulikana