Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania

Updates

UPDATE:- 9:40
Mgombea wa CCM John Pombe Magufuli hakumali nusu saa kwenye Tume na fomu zake zimepokelewa, akateuliwa na kuondoka. Sisi wengine fomu zetu zinakaguliwa tangu saa sita mchana kwa utaratibu gani wa Sheria ya Uchaguzi na Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge? Upendeleo huu wa nini?


Niseme tu hapa kuna tatizo, nimemsikiliza msemaji wa tme katoa maelezo mazuri na yalio nyooka, amabayo utagundua kwa CHADEMA ni mwanakitafuta mwanakulipata.

Ni hivi wagombea wote waliokuja jana kuhakiki fomu zao leo wameteleza tu.
Mbili wagombea wote walio hakiki wazamini wao kwa wasimamizi w auchaguzi wa mikoa/tume mkoa ofisi leo wamepeta tu pia.
Tatu tume lazima ipitie jina moja moja la wazamini wote na chadema imepeleka mikoa 16 na kila mkoa watu 2000 , hivi tunategema itakuwa shughuli fupi hivyo.
 
HUYU MKURUGENZI WA NEC ANACHOKITAFUTA ATAKIPATA...LAZIMA DAMU IMWAGIKE LEO AMA YAKE AU YETU
Huna uwezo huo wewe ass! Msaliti Lissu anajifanya anajua sheria wakati ameshindwa process kidogo tu ya kutafuta wadhamini akikabidhiwa nchi ataweza? Alitakiwa ahakiki wadhamini wake huko kwenye majimbo yeye alikuwa anahangaika na mikutano sasa amepeleka fomu za wadhamini ambazo hazijahakikiwa kwenye majimbo sasa ndiyo wanahakiki hapo Tume wakipelea ameula wa chuya! Wanasaccos elimu yenu duni sana vitu vidogo mnashindwa sasa vikubwa mtaviweza?
 
Tume imewapasa kufanya hivyo si kwa kupenda, bali ili lipate kutimia lile neno;


Marko 10:31

Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.
Kutoka 7
3 Nami nitaufanya mgumu moyo wa Farao, nami nitazifanya kuwa nyingi ishara zangu na ajabu zangu katika nchi ya Misri.
 
Hata wskipitisha, hao wadhamini wasitegemee kukuta majina yao siku ya kupiga kura.
 
Mwanasheria nguli vipi aisee tunakesha hapa kusubiri kusikia hatma yake Kama wamemkata au la?
 
Niseme tu hapa kuna tatizo, nimemsikiliza msemaji wa tme katoa maelezo mazuri na yalio nyooka, amabayo utagundua kwa CHADEMA ni mwanakitafuta mwanakulipata.

Ni hivi wagombea wote waliokuja jana kuhakiki fomu zao leo wameteleza tu.
Mbili wagombea wote walio hakiki wazamini wao kwa wasimamizi w auchaguzi wa mikoa/tume mkoa ofisi leo wamepeta tu pia.
Tatu tume lazima ipitie jina moja moja la wazamini wote na chadema imepeleka mikoa 16 na kila mkoa watu 2000 , hivi tunategema itakuwa shughuli fupi hivyo.
Kila mkoa wamechuwa majina 230 hivyo jumla ni 2300. Ni kwa mujibu wa maelezo ya Tundu Lissu mwenyewe kuwa fomu ya mkoa mmoja inaruhusu majina 230 tuu.
 
Niseme tu hapa kuna tatizo, nimemsikiliza msemaji wa tme katoa maelezo mazuri na yalio nyooka, amabayo utagundua kwa CHADEMA ni mwanakitafuta mwanakulipata.

Ni hivi wagombea wote waliokuja jana kuhakiki fomu zao leo wameteleza tu.
Mbili wagombea wote walio hakiki wazamini wao kwa wasimamizi w auchaguzi wa mikoa/tume mkoa ofisi leo wamepeta tu pia.
Tatu tume lazima ipitie jina moja moja la wazamini wote na chadema imepeleka mikoa 16 na kila mkoa watu 2000 , hivi tunategema itakuwa shughuli fupi hivyo.
Naona UVCCM waliokuwa wamejificha kwenye makabati wameanza kutoka kama mijusi inatafuta jua…
 
Afisa wa Tume anayehusika na habari na Mawasiliano, punde ametoa ufafanuzi kumtu Kupitia TBC1 kuhusu wagombea waliowaiting room kuwa, kuchelewa kwa baadhi ya wagombea kuingia chumba maalum cha uteuzi/kupokelewa fomu zao kunatokana na zoezi la uhakiki wa fomu zenyewe na uhakiki wa wadhamini. Tume ni lazima ijiridhishe kama waliomdhamini mgombea ni kweli kuwa ni wapiga kura. Na mambo mengine

Kwa wale waliopeleka kabla majina hayo kukaguliwa ktk ngazi ya Jimbo au kupelekea tume kabla, zoezi hili kwao ni la haraka zaidi, ila kama hukuwa umepeleka majina hayo kabla, basi itabidi uwe mpole kidogo kujiridhisha.

Pia ameeleza kuwa, wagombea wote ambao wamefika kituoni hapo kabla ya saa 10 watasikilizwa hadi waishe, isipokuwa kama mtu atafika baada ya saa 10. Kwa hiyo wale walio na wasiwasi kuhusu wagombea wa vyama vyao hasa CHADEMA, bila shaka wote watapata hiyo fursa ya kusikilizwa na Kkwasilosha fomu zao za uteuzi na baadae kuteuliwa kama wamekidhi vigezo vyote kwa kadri ya taratibu walizopewa. Wandugu tuwe na subira.

Tuzidi iombea tume Mungu awajaalie wafanye kazi kwa weledi, kwa kuzingatia maadili, sheria na taratibu, Uwazi na kutenda haki

#maendeleo hayana chama

TUWAULIZE CHADEMA, KWANINI HAWAKU HAKIKI FOMU JUZI AU JANA?? LEO MNA PIGA KELELE TUU. SASA ZIKIWA NA MAKOSA MNA REKEBISHA SAA NGAPI??
Hakika jambo hili linafanyika si kwa mapenzi ya mwanadamu, isipokuwa kwa mapenzi ya Mola wetu, ili lile neno lake na likapate kufikia utimilifu wake wote.

Marko 10:31

Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.

[emoji120]
 
Huna uwezo huo wewe ass! Msaliti Lissu anajifanya anajua sheria wakati ameshindwa process kidogo tu ya kutafuta wadhamini akikabidhiwa nchi ataweza? Alitakiwa ahakiki wadhamini wake huko kwenye majimbo yeye alikuwa anahangaika na mikutano sasa amepeleka fomu za wadhamini ambazo hazijahakikiwa kwenye majimbo sasa ndiyo wanahakiki hapo Tume wakipelea ameula wa chuya! Wanasaccos elimu yenu duni sana vitu vidogo mnashindwa sasa vikubwa mtaviweza?
Kujifurahisha ni haki yako, na hata ikiwa nawe WAJUA kuwa, unalazimisha kujifurahisha
 
Back
Top Bottom