Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Jamani Tundu Lissu unapendwa jamani. Leo huku wenzio matumbo yalikuwa joto tunaona itakuwaje sasa! Tunashkuru Mungu kwa hatua hii kwanza. Tuwazie hiyo kesho sasa.
Lipumba na shibuda wamevuta wameahidiwa dola milion moja na tayari wamevuta dola laki nne advance kwa mujibu dalali wa mchongo huo toka CCM kwa kazi ya kumwekea Tundu lisu pingamizi, ni Aibu kubwa kwa CCM kuogopa ushindani na kesho huko mahakamaccm wamemwehidi hakimu kumpa ujaji endapo ataweza kumkomoa Tundu lisu kumweka lupango ili akiwa huko apewe sumu iliyoandaliwa na cyprian Musiba.
 
Shibuda na Lipumba wamepewa Dola laki nne advance wamuwekee pingamizi
Na wenyewe watawekewa pingamizi kwa kutoleta majina halisi ya wadhamini Toka mikoani badala yake wakayatoa kwenye kompyuta ya tume.
 
Kitendo cha Tundu lisu kucheleweshwa kuapishwa kimeleta sintofahamu kwa watu wengi sana hapa nchini na nje ya nchi.

Mimi binafsi toka saa 8 mchana nimeshindwa fanya lolote. Presha ilikuwa inapanda inashuka. Hasira nayo inapanda inashuka. Kila muda naangalia kama yajaa kaapishwa wapi....
The same to u my Friend. Cheers all.
 
Kwa Jinsi huu uzi ulivyoenda tu na kwa jinsi ya feelings za watanzania walizozionesha kwenye pages mbalimbali zilizotangaza kupitishwa kwa Lissu. Nina uhakika wa asilimia 100 Tundu Antipas Lissu is our next president 2020 -2025
Hii ndiyo imewatisha NECCCM wakaogopa kukata jina kienyeji kwa njia haramu za kishetani ingawa wamebuni mbinu zingine kuwalipa watu wamuwekee pingamizi na kesho tayari polepole katumwa kumwahidi cheo Hakimu wa mahakamaccm amkomoe Tundu lisu kwa kusweka ndani kisha cyprian Musiba ataenda kuwatuma watu wampe sumu
 
Kuna taarifa kwamba kishapitishwa, je atakuwa salama usiku huu? Je, kama kweli kapitishwa wahuni wa maccm hawatamuwekea pingamizi ili aenguliwe!? Tusubiri tuone.
Relax hakuna pingamizi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Jaribio la Kwanza

CCM kimekuwa chama cha ajabu sana, ktk siku muhimu hapa nchini kama hii ya leo, kinathubutu kukosa subira na kuyatenda mambo ya hovyo kiasi cha kuogofya cha kuwahusisha makada wake kuchelewesha kwa makusudi haki kutendeka kwa wakati. Hivi huo uharaka wa kutaka kulazimisha kusikilizwa kwa kesi za muda mrefu za Tundu Lissu zilitoka wapi ktk kipindi ambacho kinafahamika kabisa ni chenye shughuli muhimu za kisiasa zinazotokea kwa nadra kwa ajili hatma ya Taifa zikiwa zinaendelea.

Jaribio la Pili

Kutaka kumtoa katia reli ktk kipindi hiki, haya ni matumizi mabaya ya vyombo vyetu vya dola. Hii ni mojawapo ya njia ya hovyo kabisa ya kutaka kuhujumu uchaguzi wa mwaka huu kwa kumpendelea mtu fulani. Hii ni dalili ya hofu kubwa ambayo inamnyima usingizi mtu fulani asiyejiamini.

Jaribio la Tatu

Kama kutaka kumpeleka mahakamani kwa njia ya namna ya kitekaji, hii itakuwa ni njia ovu ya kutaka kumuengua mtu ambaye anaonyesha kukubalika zaidi hata kuungwa mkono na watu wengi. Inatafutwa njia rahisi ya watu kupiga kampeni kwa kupiga "push ups" tu badala ya kujibu hoja ngumu kutoka upande wa ushindani. Mapingamizi ya namna hii ya kihuni HAYAKUBALIKI.
Mkuu wakati unaandika haya naomba nikutaarifu ya kwamba tayari CCM INA Wabunge 18. Hii ni idadi ambayo Chadema haitarajii kuipata baada ya uchaguzi.
 
Nec wamempa tundu popularity ya bure now kila mtanzania alikuwa anasubir kwann hawamteui lissu iv inaingia akilini mtu kakutana na mamilion ya watanzania then wawe feki kwamba inabidi wahakikiwe ajabu sana
NECCCM walitaka kufanya ushetani lakini wakashituka kuona nyuzi kibao zikiwandama wakabadili gia angani
 
Back
Top Bottom