Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Wameisha [emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji275][emoji275]Nadhani ulikuwa mmojawapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameisha [emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji275][emoji275]Nadhani ulikuwa mmojawapo
Vyombo vingi vya dola hawapendi uonevu wanaowafanyia wapinzani hata wakitumwa kwenda kuwanyanyasa wapinzani huenda kwa shingo upandeHata Mimi naona hivyo.Sasa subiria uasi mkubwa toka chama Cha kijani na ndani ya Vyombo vya serikali kumsapoti mtu huyu.
dk ya 2,,ccm majimbo 19 vs cdm majimbo o .. nasema ivi tutaelewana tyuuuNasikia MaCCM yanaruka na kukanyagana, hayaamini upepo ulivobadilika. Magufuli alidhan angepita bila kupingwa. Sasa ajipange.
#twende na Lissu2020.
Jibu zuri Sana na la kisomi zaidi.Magufuli wakati anaanza kushika madaraka ya urais alikuwa anafuga ndevu na kuziacha kama ndanda Kosovo baada ya muda akaacha.
Hata Lissu kuna mambo atayaacha akiwa Rais
Mara nyingi unaponusurika kifo...unarudi ukiwa mtu tofauti kabisa na nguvu nyingi za ajabu .you can always become a conquerer in a very strange wayI know Mkuu but just go back to September 7, 2017 to look back on what has happened to him since that date. Let’s hope for the best Mkuu.
Jamii forum imewatisha NECCCM mpaka wakaacha ushetani wao wa awali ingawa sasa wameandaa ushetani wa pili kupitia pingamizi la Lipumba na shibudaHongera JamiiForums kuhendo nyomi kama hii tunapishana kama sisimizi wewe LISSU hiiiiiiiii......
Shibuda na Lipumba wanahaha kuvuruga uchaguzi ni vyema watu wawasake walipo wawatembezee kichapo cha mbwa koko waache mipango haramu ya kichawiMara nyingi unaponusurika kifo...unarudi ukiwa mtu tofauti kabisa na nguvu nyingi za ajabu .you can always become a conquerer in a very strange way
Mara nyingi unaponusurika kifo...unarudi ukiwa mtu tofauti kabisa na nguvu nyingi za ajabu .you can always become a conquerer in a very strange way
JE UMESUMBULIWA NA MARADHI SUGU KWA MDA MREFU PASPO KUPONA?!!!
Leo nakuja na habari njema kwako kutoka kwa mtaalam wa Afya na Tiba Lishe
Tunatbu magonjwa yafuatayo
[emoji637] Vidonda vya tumbo (ulcers)
[emoji638] Bawasiri ya ndani na nje ( Tunatibu bila upasuaji)
[emoji639] Tezi dume (Tunatibu bila upasuaji)
[emoji640] Fungus na UTI sugu
[emoji641] Ngiri kwa wanaume (korodani kuvimba)
[emoji642]Miguu kuwaka moto na kupasua.
[emoji643]Kuondoa chunusi na makovu Mwilini
[emoji644]Heshima ya ndoa (Nguvu za kiume)
[emoji645]Kupunguza uzito na kuondoa Kitambi
[emoji647]Dawa ya jino bila kung'oa.
Pia anatoa huduma ya counselling (Ushauri Wa kiafya)
TUNAPATIKANA KATKA MIKOA YA DAR,ARUSHA,MOSHI,MOROGORO ,SINGIDA & MANYARA
Piga/Sms
0658283250
Pia unaweza kutuma msg WhatsApp kwa kubonyeza link
Keskustele WhatsAppissa yrityksen Dondoo za Afya kanssa
Wote mnakaribishwa[emoji1666][emoji120]
0658283250.
Wote mnakaribishwa.
View attachment 1548037
Hawana hoja na kumuwekea pingamizi wao watakuwa wamevuta mpunga wa bure tuShibuda na Lipumba wanahaha kuvuruga uchaguzi ni vyema watu wawasake walipo wawatembezee kichapo cha mbwa koko waache mipango haramu ya kichawi
Mkuu wakati unaandika haya naomba nikutaarifu ya kwamba tayari CCM INA Wabunge 18. Hii ni idadi ambayo Chadema haitarajii kuipata baada ya uchaguzi.
Unapata nguvu ambazo zinavuka kipimo cha kawaida cha binadamu ikumbukwe ni watu wachache sana duniani walinusurika risasi kama zilizompata lisu ni nguvu ya Mungu pekee iliyomuokoaMara nyingi unaponusurika kifo...unarudi ukiwa mtu tofauti kabisa na nguvu nyingi za ajabu .you can always become a conquerer in a very strange way
Ebu tukumbushane Mkuu. Mwaka 2015 Lowassa alishindana na nani kuwa Mgombea Urais wa Chadema? Ahahahahahahah!Mwanaume kabisa unayesimamisha vizuri unaweza kujisifia mgombea wako kupita bila kupingwa! Bonge la aibu, ni sawa na Yanga au Simba ijisifie kuanza na pointi 15 za bure bila kucheza, kisha ijisifie ina kikosi kikali.