Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

I know Mkuu but just go back to September 7, 2017 to look back on what has happened to him since that date. Let’s hope for the best Mkuu.
Mara nyingi unaponusurika kifo...unarudi ukiwa mtu tofauti kabisa na nguvu nyingi za ajabu .you can always become a conquerer in a very strange way
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Katika tukio ambalo lilivutia sana siku ya leo, na liliamsha hisia na mihemuko ya wachangiaji wengi wa JF ktk jukwaa la siasa siku ya leo, lilikuwa si lingine bali ambalo lilihusu hatma ya TAL mbele NEC ikiwa kama hatma ya nafasi yake ya kuraka kupeperusha bendera ya CDM kwa nafasi ya uraisi.

Kulikuwa na uzi wa kipekee kutoka kwa Msemaji Ukweli hapa jukwaani, ambao ulikuwa wa ni kipekee sana ktk kutuhabarisha, kutufikirisha, kutabaainisha, na pia kutujuza mambo muhimu yaliyojili ktk subira ya Watanzania juu ya hatma ya TAL dhidi ya jitihada za kutaka kuhujumu ndoto zake za kizalendo kwa taifa lake.

Nawaombenu uzi huu uendelee mpaka siku ya kesho ili tuweze kutambua "whereabouts" za TAL mpaka ifikapo asubuhi ya siku ya kesho. Tumeona habari za "tweets" zenye kuonyesha yeye kutaka kuchukuliwa kinyemela na vyombo vya dola, ijapokuwa bado ni tetesi, bado wana jukwaa wanaweza kuendelea kurefusha mijadala ili ikapate kueleweka nini ambacho kinaendelea juu yake.
 
Tumuombee Mwenyezi Mungu ili asiwekewe figisu figisu na kama atashinda hiyo October 28, 2020 na kutangazwa rasmi kwamba ni Rais Mteule furaha ya Watanzania itakuwa ni kubwa sana kushinda hata ile ya December 9, 1961 ambayo mimi na wewe tulikuwa hatujatia mguu duniani.
🙏🏽

Mara nyingi unaponusurika kifo...unarudi ukiwa mtu tofauti kabisa na nguvu nyingi za ajabu .you can always become a conquerer in a very strange way
 
Seriously!? 😳😳😳😳😳😳😳😳😳

JE UMESUMBULIWA NA MARADHI SUGU KWA MDA MREFU PASPO KUPONA?!!!

Leo nakuja na habari njema kwako kutoka kwa mtaalam wa Afya na Tiba Lishe
Tunatbu magonjwa yafuatayo
[emoji637] Vidonda vya tumbo (ulcers)
[emoji638] Bawasiri ya ndani na nje ( Tunatibu bila upasuaji)
[emoji639] Tezi dume (Tunatibu bila upasuaji)
[emoji640] Fungus na UTI sugu
[emoji641] Ngiri kwa wanaume (korodani kuvimba)
[emoji642]Miguu kuwaka moto na kupasua.
[emoji643]Kuondoa chunusi na makovu Mwilini
[emoji644]Heshima ya ndoa (Nguvu za kiume)
[emoji645]Kupunguza uzito na kuondoa Kitambi
[emoji647]Dawa ya jino bila kung'oa.

Pia anatoa huduma ya counselling (Ushauri Wa kiafya)
TUNAPATIKANA KATKA MIKOA YA DAR,ARUSHA,MOSHI,MOROGORO ,SINGIDA & MANYARA
Piga/Sms
0658283250
Pia unaweza kutuma msg WhatsApp kwa kubonyeza link
Keskustele WhatsAppissa yrityksen Dondoo za Afya kanssa
Wote mnakaribishwa[emoji1666][emoji120]

0658283250.
Wote mnakaribishwa.
View attachment 1548037
 
Shibuda na Lipumba wanahaha kuvuruga uchaguzi ni vyema watu wawasake walipo wawatembezee kichapo cha mbwa koko waache mipango haramu ya kichawi
Hawana hoja na kumuwekea pingamizi wao watakuwa wamevuta mpunga wa bure tu
 
Mkuu wakati unaandika haya naomba nikutaarifu ya kwamba tayari CCM INA Wabunge 18. Hii ni idadi ambayo Chadema haitarajii kuipata baada ya uchaguzi.

Mwanaume kabisa unayesimamisha vizuri unaweza kujisifia mgombea wako kupita bila kupingwa! Bonge la aibu, ni sawa na Yanga au Simba ijisifie kuanza na pointi 15 za bure bila kucheza, kisha ijisifie ina kikosi kikali.
 
Mara nyingi unaponusurika kifo...unarudi ukiwa mtu tofauti kabisa na nguvu nyingi za ajabu .you can always become a conquerer in a very strange way
Unapata nguvu ambazo zinavuka kipimo cha kawaida cha binadamu ikumbukwe ni watu wachache sana duniani walinusurika risasi kama zilizompata lisu ni nguvu ya Mungu pekee iliyomuokoa
 
Mwanaume kabisa unayesimamisha vizuri unaweza kujisifia mgombea wako kupita bila kupingwa! Bonge la aibu, ni sawa na Yanga au Simba ijisifie kuanza na pointi 15 za bure bila kucheza, kisha ijisifie ina kikosi kikali.
Ebu tukumbushane Mkuu. Mwaka 2015 Lowassa alishindana na nani kuwa Mgombea Urais wa Chadema? Ahahahahahahah!
 
Back
Top Bottom