CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Bila Ulaya na marekani hatuwezi kuwatoa nyie viazi.Duh. Kumbe unaitegemea Marekani na Ulaya?
Kamuulize Besige wa Uganda mpaka imebidi ajistaafie siasa maana kaona anazeeka na matumaini kama haya haya yako
Unajua huko Amerika na ulaya walishamuona tundu ni fala tu, na hawa hangaiki nae, ila kuna vi taasisi vya kishetani huko ndo vinaleta chokochoko.Naona unaotaaa, Dunia hii??? Ujamaa ulijifia kitamboooo na haitotokea hata siku moja ujamaa kurejea, haitokaaa kutokea.
Namaanisha ivi, Dunia inaongozwa ,na wanaoiongoza ndio wapo dhidi yenu nyinyi wauaji , watekaji, wanyanyasaji .
Na mtaandoka tuuu... Marekani na Ulaya haijawahi kushindwa Chini ya Jua[emoji23][emoji23][emoji23]
Chato ni tanzania nyimbani kwa mheshimiwa Magufuli.Dunia gani chato?
Tanzania siyo Taifa huru ndiyo maana kuna Balozi mbalimbali na pia mbona yule Balozi wa marekani alikuwa akikosoa live waliogopa kumfukuza? Tanzania siyo huru sasa ipo chini ya Mkoloni mweusi tokea chato ingawa analala chamwino, Wapinzani wanadai uhuru kama akina nyerere au Mandela alivyodai uhuru toka kwa makaburuCorona tu imewashinda sasa wewe unasema nini?
Huko marekani kwenyewe huyo Trump ana mawazo, sasa ahangaike na sisi ili iweje?
Bado sisi ni taifa huru
Wabunge wenu 22 chaliNani kakatwa , kama magufuli karudishwa unadhani nani ataondolewa ?
Katibu wa tume ya uchaguzi: Tume ya uchaguzi baada ya kupokea pingamizi dhidi ya wagombea hao, imewataarifu wawekewa pingamizi mapema iwezekanavyo na wahusika wamewasilisha utetezi wao...
Hahahaha ndo mtajua Hamjui..
Bichwa wenu ni Tatizo sugu kwa Dunia.
Atoke Trump..aje Biden tena huyu ndo kabisaaaaaaa Sera zake ni zakujitanua, mbona mtaelewa tu
Kwa ufupi anguko la CCM liko mchakatoni.
Unaonaje Lissu atakavyoimarisha mahusiano na viongozi wakubwa wa Dunia.Unajua huko Amerika na ulaya walishamuona tundu ni fala tu, na hawa hangaiki nae, ila kuna vi taasisi vya kishetani huko ndo vinaleta chokochoko
Ambavyo vinafanya ujambazi nchi za Africa.
Yan mpaka sasa mshapogwa majimbo 22 alafu mnasema mnaiangusha CCM nyie kweli nyumbu!..Hahahaha ndo mtajua Hamjui..
Bichwa wenu ni Tatizo sugu kwa Dunia.
Atoke Trump..aje Biden tena huyu ndo kabisaaaaaaa Sera zake ni zakujitanua, mbona mtaelewa tu
Kwa ufupi anguko la CCM liko mchakatoni.
Magufuli kavuka kizingiti kingine hiki cha pingamizi,ahsante Mungu kwa utukufu wako.
Wewe mwenyewe hapo ulipo ni fala na mbumbumbu juha zuzu unawezaje kujua ya Ulaya dhidi ya lisu? Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu na uongo wako wa kishamba tokea kolomije.Unajua huko Amerika na ulaya walishamuona tundu ni fala tu, na hawa hangaiki nae, ila kuna vi taasisi vya kishetani huko ndo vinaleta chokochoko
Ambavyo vinafanya ujambazi nchi za Africa.
Tanzania siyo Taifa huru ndiyo maana kuna Balozi mbalimbali na pia mbona yule Balozi wa marekani alikuwa akikosoa live waliogopa kumfukuza? Tanzania siyo huru sasa ipo chini ya Mkoloni mweusi tokea chato ingawa analala chamwino, Wapinzani wanadai uhuru kama akina nyerere au Mandela alivyodai uhuru toka kwa makaburu
Na ili muyapate hayo lazima muolewe kwanzaBila Ulaya na marekani hatuwezi kuwatoa nyie viazi.
Tunahitaji Pesa, intelijensia n.k.
Tutayapata wapi km sio Ulaya????.
Sasa siukakate Rufaa juha wewe?Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, huenda Magu asingekuwa mgombea leo.
Kwa mujibu wa Lissu,Tume ndio iitoa maelezo yanayopingana na sheria, na Magufuli akafuata maelekezo hayo yanayopingana na sheria, maelezo ambayo Lissu yeye alikataa kuyafuata na fomu zake akataka zikahakikiwa na NEC kama sheria inavyoelekeza(alisoma kifungu husika kwa wanahabari).
Swali:Kama Lissu alikuwa wrong,mbona NEC hao hao walikubali kukagua form zake na kuzihakiki tofauti na Magufuli na Lipumba ambao form zao zilihakikiwa huko mikoani badala ya kuhakikiwa na NEC?
All in all,wamepata funzo na aibu kubwa wahusika wote.
Cha ajabu hawafafanui zaidi ya kusema tu wametupilia mbali.
Alotetemeka ni wewe na mkeo jinga mkubwa wwLissu katetemesha viumbe
Mwambie Lisu aandae kiduku kile tumnyoe oktoba hiiTume HURU huyo yesu fake angeenguliwa tu lakini Tumeccm ndiyo hivyo tena.
Hatuwezi kutumia akili za kichaa kuongoza nchi, huyo huyo kasema tume inaweza kuwapa mamlaka wasimamizi, bado tena anasema sio harali,
Pili kuhusu picha
Naomba unipe tafasiri ya
pasport size?
full size na?
half size?
Medium size?
Big size
Je maana yake ni lazima uangalie mbele au ni kipimo cha ukubwa wa picha?
Kuhusu kuangalia mbele ni masharti ya taasisi au hitaji husika na sio kiwango cha ukubwa wa picha.
Na ndo maana tunasema tundu ni kichaa ila bado mnamshangilia tu.
Alisema magufuli katoa rushwa ya laki moja bado mkashangilia
Nyie ni mazuzu tu.
Ukitaka kujua tundu anamuogopa magufuri, toka jana usiku anatafuta makosa ya magufuli tu siku nzima na nadhani hajalala.