Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Sheria na kanuni za uchaguzi zinazosimamia uteuzi wa wagombea na mapingamizi dhidi yao ni hizi hapa: Uchaguzi 2020 - Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali. Ni kifungu gani kilichokiukwa kama Lissu hakutaka kufurahisha wafuasi wake tu ambao anajua hawasomi sheria zenyewe bali kukubali kila anachowaambia?
 
Afanye chochote atakacho, lakini tayari hata hiyo tume itajua hizo sheria wanazosimamia na kuengua wagombea wa upinzani ni hujuma za wazi, na wanatengeneza njia za machafuko. Mpaka sasa imeonyesha wazi pasi na shaka kuwa tume ya uchaguzi sio huru.
Hujuma kama zipi? Za wazi
Nani aanzishe machafuko na mtekelezaji wa hayo
 
Naomba mhombea yeyote anaejitoa ufahamu muwe mnapuuza hivohivo..
Lissu niwa kupuuza tu na hii ndo dawa yake.
 
Msikilize vizuri Lisu alisema JPM hakurudisha form Kama sheria za uchaguzi zinavyosema unaweza ukamwona mtu ndani ya dakika 30 Kama ulivyosema ila hakukidhi vigezo vilivyotakiwa kwa maana hiyo hajarudisha form.
 
Nani kakatwa , kama magufuli karudishwa unadhani nani ataondolewa ?

Kama kuna makosa watakatwa Magufuli hakuwa na kosa lolote kwenye fomu yake shida yenu mnasaidiwa kufikiri na Lissu
 
Hiyo ndio mbinu inawafanya ccm watangazwe washindi siku hizi.
Mkuu Lisu hapa kaonesha umbumbumbu!

Unaposema form zimehakikiwa na wasimamizi wa uchaguzi majimboni hao ndio NEC yenyewe ndio maana hata matokeo ya uchguzi yanaanza kutolewa huko.

Alipocheleweshwa pale kwenye tume ile juzi tume walitoa maelezo kwamba waliopitisha form zao huko majimboni hajakaa sababu tume haikupata shida ya kuanza kukagua maelfu ya hao wadhamini.

Kwahiyo wote tangu kina Membe ni wajinga ila yeye Lisu tu ndio alikuwa na akili?
 
Yako NEC ulitaka waKuletee nyumbani kwako?

Halafu wewe unamwamini Lisu fomu Ina Hadi sehemu ya kubandika picha unaamini kweli kuwa picha haulikubandikwa?

Lisu anatafita kiki kwenye media kwa.kila hali hata kwa kutunga vitu vidogo vya uongo
Sio kwamba hakuweka picha Ila shida aliweka picha isiyo sahihi
 
Lieu anachekesha.
Tume aiteue Magu. Leo hii anataka imuite. Hizi ni dalili kuwa katiba yetu ni mbovu. Chadema hawataki kusikia ila time itamtangaza meko mchana kweupe
Baada yabkushinda kwa kishindo na si vinginevyo,
Wewe unaamini tundu.lisu anachoongea chote ni sawa?
Alisema tutanyolewa bila maji, sasa hao wanyozi walienda wapi?
Tundu ni mhalibifu kwa nchi na si mshauri mzuri kwenye nchi yake.
 
Msikilize vizuri Lisu alisema JPM hakurudisha form Kama sheria za uchaguzi zinavyosema unaweza ukamwona mtu ndani ya dakika 30 Kama ulivyosema ila hakukidhi vigezo vilivyotakiwa kwa maana hiyo hajarudisha form.

Kwani Tume wajibuje? Hahahaha chadema bhana hahaha hata Membe alihakikiwa kule kule majimboni wadhamini wake kwanini Lissu hakunuwekea pingamizi? Lissu amesoma sheria bila kusoma kanuni hahaha

Na picha je? Hahaha
 

Unachikiuliza leo ndio tumekuwa tukijiuliza kila siku kuwa ccm tu ndio wanaojua kujaza fomu nchi nzima? Wakati ccm wanashinda kwa mbinu hizo ulikuwa unatamba kuwa wapinzani ni vilaza, leo jiwe ndio kuonyeshwa kilaza unalialia. Mnashabikia uovu, mkibadilishiwa kibao mnalialia. Na kwa pingamizi hili ndio tume imeonekana ni jinsi gani sio huru. Halafu kwa tume hiyo dhaifu , ndio mnasema eti tarehe 28 mnashinda.
 
Yako NEC ulitaka waKuletee nyumbani kwako?

Halafu wewe unamwamini Lisu fomu Ina Hadi sehemu ya kubandika picha unaamini kweli kuwa picha haulikubandikwa?

Lisu anatafita kiki kwenye media kwa.kila hali hata kwa kutunga vitu vidogo vya uongo
Na anaangaliwa tu. Next atafanya nn?
 
Kwenye form za Magufuli kulikuwa na kosa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…