Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Kama unasaka uteuzi kwa uandishi huu pole sana hupati hata uteuzi wa kuwa house boy chato au chamwino
Inawezekana na wewe ni mmoja wanomeza lolote linalosemwa na Lissu bila kuangalia ukweli na sheria zinasemaje; nimewawekea sheria na kanuni hapo juu uone kama kweli Lissu alikuwa na ground yoyote. Niliwahi kuhudhuria mkutano mmoja wa Lissu pale DC mwanzoi mwa mwaka jana nilikuwa na shughuli nyingine mjini hapo, na niliposikia mkutano huwa watanzania, nikatafuta mda wa kuuhudhuria; ninamfahamu!
 
Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, huenda Magu asingekuwa mgombea leo.
...
All in all,wahusika wamepata funzo tena bila shaka ni funzo kubwa tu hasa kuhusu hizi sheria zetu..

Cha ajabu,wao katika kujibu, hawatufafanulii zaidi ya kusema tu wametupilia mbali na kwamba majibu yatatolewa kwa muweka pingamizi kwa maandishi.

Mkuu Salary Slip wakati nwingine busara itawale chuki uliyonayo itakutia matatani nafsi yako. John Pombe Magufuli ni Rais anayemaliza muda wake, kwa maana hiyo anajua sheria, kanuni na taratibu za kugombea.

Ebu Mkuu jiulize:
√ Iweje leo asijue na kufanya kinyume?
√ Kama aliweza kupitishwa wakati wa awali asipokuwa na madaraka ya kutumia mwanasheria mkuu na hata wajumbe wa Tume kumwelekeza, iweje leo akiwa na madaraka ashindwe kuwatumia?

Lissu amedai Magifuli kaingizwa kwenye chaka, amini sasa ujuaji wake siyo kwamba umemwingiza kwenye chaka bali choo cha jinsi nyingine. Chuki yake dhidi ya Magufuli itaadhibiwa na wapiga kura, vivyo hivyo na wagombea wa chama chake. Chama chenye viongozi wa kupinga kila kitu.

All in all, shame on you.
 
Inawezekana na wewe ni mmoja wanomeza lolote linalosemwa na Lissu bila kuangalia ukweli na sheria zinasemaje; nimewawekea sheria na kanuni hapo juu uone kama kweli Lissu alikuwa na ground yoyote. Niliwahi kuhudhuria mkutano mmoja wa Lissu pale DC mwanzoi mwa mwaka jana nilikuwa na shughuli nyingine mjini hapo, na niliposikia mkutano huwa watanzania, nikatafuta mda wa kuuhudhuria; ninamfahamu!

Unamfahamu kwa huo mkutano mmoja tu?

Kama ndivyo akili yako inavyokutuma, unaweza kuwa na vinasaba sawa na vya nabii Tito kama si yeye mwenyewe

Vinginevyo labda ndiyo unatokea baa. Lala angalau pombe ikutoke kwanza upate akili mpya.

Usiku mnene saa hizi!
 
Lissu ni woga wa kuangukia pua kwenye box la kura na vile vile kutaka kuonyesha wafadhili wake kuwa bado ni mtu relevant. Pingamizi la kusema jumla jumla tu hakurudisha kwa mujibu wa sheria bila kusema ni kifungu gani cha sheria hakikuzingatiwa ni pingamizi la kitoto sana kutoka kwa "mwanasheria msomi aliyebobea"

Kila kitu kipo wazi hapo juu. Soma kwanza kabla ya kuandika. Vipengele vyote vya sheria vimewekwa. Tume ndiyo imejibu jumla jumla kujilinda yenyewe na JPM baada ya kujichanganya. Lissu yupo sahihi kabisa.
 
Mkuu Salary Slip wakati nwingine busara itawale chuki uliyonayo itakutia matatani nafsi yako. John Pombe Magufuli ni Rais anayemaliza muda wake, kwa maana hiyo anajua sheria, kanuni na taratibu za kugombea.

Ebu Mkuu jiulize:
√ Iweje leo asijue na kufanya kinyume?
√ Kama aliweza kupitishwa wakati wa awali asipokuwa na madaraka ya kutumia wa mwanasheria mkuu na hata wajumbe wa Tume kumwelekeza, iweje leo akiwa na madaraka ashindwe kuwatumia?

Lissu amedai Magifuli kaingizwa kwenye chaka, amini sasa ujuaji wake siyo kwamba umemwingiza kwenye chaka bali choo cha jinsi nyingine. Chuki yake dhidi ya Magufuli itaadhibiwa na wapiga kura, vivyo hivyo na wagombea wa chama chake. Chama chenye viongozi wa kupinga kila kitu.

All in all, shame on you.

Huelewi unachoandika.
 
Unamfahamu kwa huo mkutano mmoja tu?

Kama ndivyo akili yako inavyokutuma, unaweza takuwa na vinasaba sawa na vya nabii Tito kama si yeye mwenyewe

Vinginevyo labda ndiyo unatokea baa. Lala angalau pombe ikutoke kwanza upate akili mpya.

Usiku mnene saa hizi!

Nimeshamsikiliza pia anavyooongea kwenye radio mbalimbali. Ile ya DC ninaisema kwa vile ilinigusa sana. Nilimwona zamani kidogo akiwa anatetea wanavijiji wa Nyamongo akiwa kijana mwenye nguvu sana.

Siku hiyo hapo DC nilimwona akiwa anatemebelea magongo nikiwa tayari najua kuwa alishambuliwa kwa risasi, kwa hiyo niliguswa kibinadamu nikajifikiria kuwa hiyo inaweza kunitokea hata mimi pia; ni experience iliyoniumiza sana. Ila ilipokuja maneno yake yalikuwa ni OFF kabisa; nilichoongelea hapo juu ni maneno anayotoa siyo yeye kama mtu binafsi.
 
Rais ana kazi kubwa sana ya kujenga nchi, hana mda wa kujadiliana na kichaa
 
Nimeshamsikiliza pia anavyooongea kwenye radio mbalimbali. Ile ya DC ninaisema kwa vile ilinigusa sana. Nilimwona zamani kidogo akiwa anatetea wanavijiji wa Nyamongo akiwa kijana mwenye nguvu sana. Siku hiyo hapo DC nilimwona akiwa anatemebelea magongo nikiwa tayari najua kuwa alishambuliwa kwa risasi, kwa hiyo niliniguswa kibinadamu nikajifikiria kuwa hiyo inaweza kunitokea hata mimi pia; ni expereice iliyoniumiza sana. Ila ilipokuja maneno yake yalikuwa ni OFF kabisa; nilichoongelea hapo juu ni maneno anayotoa siyo yeye kama mtu binafsi.

Pana wengi wanamfahamu tokea o'level Arusha, A'level Tanga hadi UDSM. Wana account tofauti na yako kuhusiana na huyu bwana. Bado ungependa ya kwako isimame tu? Kwani demokrasia maana yake nini?

Uanasheria wake katika jamii haulingani na wengi wakiwamo kina nyoka ya makengeza na maprofesa lukuki wachumia matumbo yao wanaofahamika kwa majina.

Alikuwa bungeni na mchango wake huko unajulikana labda utake kumchukia tu.

Ni wazi kuwa, afisa kipenyo yupi atakuwa na mazuri ya kusema kumhusu huyu bwana? Kwani amewapa nafasi hata ya kupumua? Kawashika pabaya!

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
 
Pana wengi wanamfahamu tokea o'level Arusha, A'level Tanga hadi UDSM. Wana account tofauti na yako kuhusiana na huyu bwana. Bado ungependa ya kwako isimame tu? Kwani demokrasia maana yake nini?...
Sijasema kuwa hajafanya mazuri na ana uwezo gani, ila tangu alipoingia kwenye siasa akakosa objectivity na ndiyo maana ameishia kuwa anaropoka na kuongea pumba sana.
 
Sijasema kuwa hajafanya mazuri na ana uwezo gani, ila tangu alipoingia kwenye siasa akakosa objectivity na ndiyo maana ameishia kuwa anaropoka na kuongea pumba sana.

Ukweli mchungu huyu jamaa achana naye siyo saizi yako. Waulize jiwe, jaji K, na maprofesa lukuki na wengi wengine watakwambia:

IMG_20200827_025901_963.jpg
 
Sijasema kuwa hajafanya mazuri na ana uwezo gani, ila tangu alipoingia kwenye siasa akakosa objectivity na ndiyo maana ameishia kuwa anaropoka na kuongea pumba sana.
Hebu taja hizo pumba alizowahi kuzisema.
 
Maelezo yote hayo hayasaidii lolote pasipo kupigania tume huru kwanza. Unataka tume imwengue anayeiteua!?
Wanazidi kutushangaza!Tungekuwa na Tume Huru, huenda Magu asingekuwa mgombea leo.

Kwa mujibu wa Lissu, Tume ndio iitoa maelezo yanayopingana na sheria, na mgombea uraisi Magufuli, akafuata maelekezo hayo yanayopingana na sheria, maelezo ambayo Lissu yeye alikataa kuyafuata na fomu zake akataka zikahakikiwa na NEC kama sheria inavyoelekeza(alisoma kifungu husika kwa wanahabari).

Swali:Kama Lissu alikuwa wrong,mbona NEC hao hao walikubali kukagua form zake na kuzihakiki kwa maana ya kuhakiki wadhamini wake tofauti na mgombea Magufuli na Lipumba ambao form zao zilihakikiwa huko mikoani na wasimamizi wa majimbo na wakazigonga mihuru badala ya fomu hizo kuhakikiwa na NEC?

Hoja nyingine ya Lissu ni kuhusu siku ya kurudisha fomu ambayo ilikuwa ni jana, na ndio siku ambayo,kwa mujibu wa sheria, ilikuwa ni siku ya uteuzi. Sasa hao wagombea wengine licha ya fomu zao kuhakikiwa na watu wasiostahili kisheria,lakini bado ziliwasilishwa katika siku ambayo haikuwa siku ya uteuzi(kwa maelezo ya Lissu) na hilo,kwa mujibu wa Lissu, pia ni kukiuka sheria ya uchaguzi.

Lissu pia kaweka wazi kuwa kwa mujibu wa sheria,Tume wanaweza kutoa maelekezo, ila sheria hiyo hiyo inatamka kuwa maelezo hayo hayapaswi kuwa kinyume na sheria yenyewe.

All in all,wahusika wamepata funzo tena bila shaka ni funzo kubwa tu hasa kuhusu hizi sheria zetu..

Cha ajabu,wao katika kujibu, hawatufafanulii zaidi ya kusema tu wametupilia mbali na kwamba majibu yatatolewa kwa muweka pingamizi kwa maandishi.
 
Hapo ndio tujue kuwa Lissu ni good presidential material. Wananchi tubadilike sasa, haki tuweke mbele. Taifa hili linaperekeshwa sana na kakikundi ka watu wachache
 
Back
Top Bottom