Uzuri ukishakufa tu hujijui kama uliwahi kuishi hapa Duniani.Watz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Mungu hahusiki kupanga vifo. Vifo vinatokea kwa sababu za kibinadamu. Ndiyo maana ukiugua unakimbilia hospital na wala husemi ''siku zangu za kufa hazijafika''Mingine inapangwa na watu wenyewe kwa uzembe, lakini asilimia kubwa ni muumba.
Ndugu yangu acha hayo, kwahiyo na hizo safari walizowahi kusafiri na wakafika salama unawaambiaje.Watz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Kusafiri na familia ndiyo mambo yote na mtu yoyote mwenye akili atafanya hivyo. Infact ni wengi wanafanya hivyo duniani kote. Tatizo ni kuwa Tanzania hatuzingatii sheria za barabarani halafu ajali inapotokea tunakimbilia kulaumu mambo mengine. Juzi nilimsikia tena yule tapeli Mwamposa akisema ajali zinasababishwa na mapepo.Mkuu kuna vibe kubwa Sana kutembea na familia ingawa kuna risks kubwa....nami pia nimesafiri na familia tuombeane Tu turudi salama
Nimewaambia duniani kote vipindi vya holidays, safari nyingi zinafanyika kifamilia. Ni nyingi mno na ajali kama hiyo inatokea mara chache kulinganisha na wingi wa safari.Ndugu yangu acha hayo, kwahiyo na hizo safari walizowahi kusafiri na wakafika salama unawaambiaje.
Alafu Raha yakusafiri usafiri na familia bhana hayo mengine ni matokeo tu alafu hayakimbiki.
Ukitaka uishi vizuri kwahii dunia acha kukifukiria vibaya kifo,
Ikitokea imetokea tu, acha kuweka hizi Kinga zisizo na maana
Hapo sawaMingine inapangwa na watu wenyewe kwa uzembe, lakini asilimia kubwa ni muumba.
Upo Sahihi kabisaa mkuu ni ngumu Sana kutengana na watoto safariniKusafiri na familia ndiyo mambo yote na mtu yoyote mwenye akili atafanya hivyo. Infact ni wengi wanafanya hivyo duniani kote. Tatizo ni kuwa Tanzania hatuzingatii sheria za barabarani halafu ajali inapotokea tunakimbilia kulaumu mambo mengine. Juzi nilimsikia tena yule tapeli Mwamposa akisema ajali zinasababishwa na mapepo.
Ndio nashangaa mimi mwenyewe 🤔Kwani wakifariki wote shida iko wapi? Kuna atakayeishi milele?
Majitu mengi tu huwa yanaendesha na vilevi kichwani , sisi wamatumbi kwenye hivi vyombo vya moto tunajitoaga akili sna.Kusafiri na familia ndiyo mambo yote na mtu yoyote mwenye akili atafanya hivyo. Infact ni wengi wanafanya hivyo duniani kote. Tatizo ni kuwa Tanzania hatuzingatii sheria za barabarani halafu ajali inapotokea tunakimbilia kulaumu mambo mengine. Juzi nilimsikia tena yule tapeli Mwamposa akisema ajali zinasababishwa na mapepo.
Unawajua wanawake wa kimeru wwMarehemu hasemwi ila nimejisikia vibaya sana. Watoto wamefunga shule tokea mwezi wa 12 mwanzoni, kwann wasitangulie na mama yao?
Sasa wote kwenye msiba wakijua hii mbinu nadhani dereva atabaki na jeneza tu. 😂Hata misiba ya kusafirisha, wakikodi gari jichenge.
Kuna Mambo mengi ambayo hatuyaoni
Hili somo nimelipata vizuri tangu ile ajali iliyoondoka na watu takribani 7 wa Familia moja miaka ya nyuma.Watz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Unakuta mwendesha anaendesha chombo huku anapiga stori za jana kijiweni na konda wake. Wakati huo anageuza shingo nyuma. 😀Bora utafute dereva mwenye akili timamu mwenye uzoefu na kufuata Sheria za usalama barabarani
Kwahiyo Mungu kawaua?Mwenyezi Mungu akipanga lake huwezi kulikwepa hata iweje,kikubwa tuwaombee heri huko waendako na tuwape pole wafiwa na kuwatakia nafuu ya haraka waliojeruhiwa.
Pia tuendelee kukumbushana kuishi vyema hapa duniani tusifanyiane husuda na roho mbaya bali tuishi kwa kutendeana vyema kwani maisha ya duniani ni mafupi sana.
Watz ni watu wajinga Sana .
Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima.
Baba
Mama
Watoto
Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote.
Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
Siyo maana yake,angesafiri mapema Barabara hazina wingi wa magari na pilika nyingi,hivyo ni rahisi baba kuwa makini zaidi akiwa mwenyewe safarini.Watangulie na mama yao ili baba afe peke yake🤔