Tumetoka mbali sana, tumshukuru Mungu. Wengi hawakujionea kwa macho

Zamani mashoga hawakuwa wengi kutokana na lifestyle iliyotukuza...hapa mtaa ninaokaa sio ushuani wala nini lakini nina miaka mingi sana sijasikia watoto wakicheza kombolela au hata ukutiukuti
 
Zamani mashoga hawakuwa wengi kutokana na lifestyle iliyotukuza...hapa mtaa ninaokaa sio ushuani wala nini lakini nina miaka mingi sana sijasikia watoto wakicheza kombolela au hata ukutiukuti

Kombolela, Ukuti au ule mchezo unaitwa center na ule mpira wa kuzunguka unaitwa sina ukimwi
 
1.Nyama kwenye pick up ikipelekwa buchani huku na wanunuzi wakiwa wamepanda juu wakiikanyaga hiyo nyama.
2.watu wakivuta sigara ndani ya basi.huku basi likiwa limewekewa ashtray kabisa.hakuna abiria anaelalamika.
 
Hili la Jiwe la Fatuma ndiyo lina nikela mpaka leo....hivi wale jamaa waliokuwa wanafanya wizi wa namna hii kiumri sasa hivi ni watakuwa wamezeeka sana ingawa ujuzi wanao bado .....
Sasa kwanini mseme kijiji bila wazee ni fujo ?
Mimi ndiyo maana wazee wasikuhizi siwaamini maana ndiyo walikuwa Mataikun ya enzi hizo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1.Nyama kwenye pick up ikipelekwa buchani huku na wanunuzi wakiwa wamepanda juu wakiikanyaga hiyo nyama.
2.watu wakivuta sigara ndani ya basi.huku basi likiwa limewekewa ashtray kabisa.hakuna abiria anaelalamika.
nilikuwa namaindi kimyakimya mtu kwenye pickup kakaa juu ya nyama asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…