Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Kama hili shindano ni la kweli, mwenye kustahili ushindi huo itakuwa ni Nana Addo wa Ghana, ktk vigezo vyote vya utawala bora hakuna anayeweza kumfikia. Tuache unafiki kwa kuwa hata madonda ya rafu za uchaguzi uliopita na madhira yake bado hayajapona.

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Kama Magufuli yuko 5 bora, then bara la Africa liko hovyo kwenye utawala bora.
 
Kwani huyu ni kipi kimebadalika kwenye maisha yangu?
Basi mkuu mpigie kura wa Ghana, Lisu atakuwa rais na Magu kuwekwa pembeni na maisha yako yatabadirika
 
Kwani huyu ni kipi kimebadalika kwenye maisha yangu?
Utabidilisha vipi kama akili yako ndio hii mbovu ya kushinda jf kupiga soga tu
 
Nimewatumia jamaa kwenye group letu. Nimewaambia tumpigie rais wa Ghana, naona zaidi ya watu 90 kwenye group lenye watu 198 wameniwekea dole. Watu wawili tu ndio wamesema hatumpigii rais wetu, kila mtu kawanyamazia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Utoto huu! Hapo ndio Magu hatakuwa rais ama?
 
Back
Top Bottom