Tunafunga mjadala sasa, Mwanaume anapendewa pesa tu - Mbunge wa Iringa Mjini

Pole sana...usijali kwenye kikao chetu cha kufunga mwaka tutaliwasilisha ili tuangalie kwa namna gani tunaweza kuwapunguzia maumivu warembo maana kwa kweli nyie ni watamu na tunawahitaji
[emoji23][emoji23] sawa sawa
 
Ila na nyie kwenye kikao chenu mtufikirie ombi letu jamani la kuwa na wananwake japo watatu
Mie kama unatimiza wajibu wako kwangu kikamilifu hao wengine kuwa nao tu ila usiniletee magonjwa.
 

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][mention]Kelsea [/mention]
Me sio mchoyo...ngoja nkuoneshe madin mywangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…