asante sana. Vyama vya upinzani vinatupa dira, uongozi, sisi tunatoka barabarani tunaandamana kwa amani kabisa kudai demokrasia na haki . Ni kuwapa pressure watawala kuwa mambo hayako sawa. Na wala hakuna fujo, ni haki ya kikatiba! itafika mahali wata-surrender maana ukweli wanauona lakini hawataki kutenda haki na ukweli!Huko Ni mbali mkuu,ajitokeze mmja akasotee jela Kama Mbowe ili atoe mfano maana kutaja mifano ya kina Mandela afu umejificha kwenye key board Ni upumbavu..
Katiba mpya na mageuzi yataletwa na wakati na Wananchi na sio shinikizo la maeslahi ya Vyama vya siasa.
RC wakipata reforms bila Kutaka hivyo hivyo na Nchi Nyingi nk
Never, ni sisi! mimi na wewe tutoke barabarani! tuwaambie watawala kuwa hiki siyo sawa! na si fujo!Familia zao zikija hapa italeta mabadiliko yoyote?
Shida ya Chadema ni ruzuku tu na wala hawana mpango wa kuchukuwa Dola!!Chadema wakae kimya hivyo hivyo watu akili zitusogee. Mambo yakizidi kuwa magumu sisi wenyewe tutajiongeza[emoji3]
Halafu sisi tunafanya mapenzi na wake zetu Mbowe yupo magerezaTunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.
Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!
Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID
Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi na Magufuli/ Bashiru in 2020, and many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Kule ni zaidi ya jehanamuHaaa nimecheka sana. Wewe ulishawahi kufungwa hata miezi 6? Una act kama vile una uzoefu na ufungwa?
stop that bullshit man, magereza hapozoeleki.
Tukae kwa kutulia tuu,kwani izi pigo hao ccm wapiga kura inamaana na wao hawaumii,kma unauchungu wewe andamana,Mimi Niko pale kusubili matokeo ya kuandamana kwako.Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.
Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!
Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID
Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi na Magufuli/ Bashiru in 2020, and many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Hakuna maandamano yasiyo na fujoasante sana. Vyama vya upinzani vinatupa dira, uongozi, sisi tunatoka barabarani tunaandamana kwa amani kabisa kudai demokrasia na haki . Ni kuwapa pressure watawala kuwa mambo hayako sawa. Na wala hakuna fujo, ni haki ya kikatiba! itafika mahali wata-surrender maana ukweli wanauona lakini hawataki kutenda haki na ukweli!
We jamaa tutoke kama wa irani ili watuvunje, watuharibu sura? kwanza Imeandikwa Yamfaa mmoja (au wawili, au watatu) kufa kwa ajili ya wengi sisi kina nani tupingane na maandiko.Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.
Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!
Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID
Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi na Magufuli/ Bashiru in 2020, and many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Wanafikiri watanzania wote ni closed mind tunaelewa ,na sasa hatupo nyuma ni lazima tuwasukume viongozi wetu wasile posho na mishahara bure,kiongozi unapogombea kiti ni lazima umeshatambua wajibu wako na unawakilisha umma mambo ya kusema jaribuni nyie kuingia road ni udhaifu wa kiongozi,bora hata lema kasimamia anachokiaminiMbona huko Bungeni wanaenda peke yao na ma V8 yao,na posho Wana sign kimyakimya, Ila kwenye kuaandamana ndiyo wanataka msaada wetu wa kwenda front! Tumesanuka wao ndiyo waingie road na Kisha watuletee feedback ya maandamano yao! Upinzani Tanzania ni waoga sana, ndiyo maana Sasa nao wameaamua kuwa walamba Asali tu!!
We jamaa tutoke kama wa irani ili watuvunje, watuharibu sura? kwanza Imeandikwa Yamfaa mmoja (au wawili, au watatu) kufa kwa ajili ya wengi sisi kina nani tupingane na maandiko.
Inategemea na ideological composition ya population. Nchi hizi zinakua zina watu wenye fikra za kimapunduzi zaidi ya percentage flani ya population kwa Tanzania watu wenye fikra hizi bado ni wachache sana.Hizi nchi ambazo wananchi walitoka na kufanikisha kuilazimu serikal kubadili maamuzi yake wao wanafanya kwa style gani?
Kua mjinga sio sifa.Kuwa mfuasi wa gaidi kama mbowe siyo sifa, akija rais mwingine lazime likamatwe na kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa
stiff necked foolHahahaha hivi kwenye lile bomu alilolipua gaidi kule Arusha enzi za JK alikuwepo au alilitega tu akasepa? Hivi watoto wa mbowe huwa wanakuwepo kwenye maandamano.
Sasa hivi Mbowei yuko majuu kaenda kulamba asali ya wazungu hahahaha, naona kalamba ya bongo ya nyuki wadogo basi kaona aifuate na watasha.
Tutakufa sote pamoja kama timu moja.Familia zao zikija hapa italeta mabadiliko yoyote?
Hii hoja ya uoga mie naipinga.CCM imewajaza Watanzania uoga kama watu wa North Korea. Hata maisha yawe magumu kiasi gani, watanung'unika lakini watavumilia. Enzi za Nyerere watu walivaa viraka, walilala njaa, walipanga foleni kununua sukari, vitu vingi viliadimika lakini watu walivumilia tu. CCM inajua fika inatawala taifa la waoga.
Ila mwenyewe Mbowe anakubali kulaumiwa anaambiwa hadi analamba asali inamkera ila anavumilia ndio uongozi huo.kama hupokei ruzuku kalisha matako yako kwenu ulimlaumu mbowe endelea kupigika kwenu au kufa lakin sio kumtaja mbowe kwa upunga wako.
Kwa nini ?Hii hoja ya uoga mie naipinga.