Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

Tunamsakizia Mbowe na kumlaumu kalamba asali. Tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran

Huko Ni mbali mkuu,ajitokeze mmja akasotee jela Kama Mbowe ili atoe mfano maana kutaja mifano ya kina Mandela afu umejificha kwenye key board Ni upumbavu..

Katiba mpya na mageuzi yataletwa na wakati na Wananchi na sio shinikizo la maeslahi ya Vyama vya siasa.

RC wakipata reforms bila Kutaka hivyo hivyo na Nchi Nyingi nk
asante sana. Vyama vya upinzani vinatupa dira, uongozi, sisi tunatoka barabarani tunaandamana kwa amani kabisa kudai demokrasia na haki . Ni kuwapa pressure watawala kuwa mambo hayako sawa. Na wala hakuna fujo, ni haki ya kikatiba! itafika mahali wata-surrender maana ukweli wanauona lakini hawataki kutenda haki na ukweli!
 
Chadema wakae kimya hivyo hivyo watu akili zitusogee. Mambo yakizidi kuwa magumu sisi wenyewe tutajiongeza😀
 
Mbona yeye hajafa mpaka sasa na kaficha watoto wake marekani.
 
Chadema wakae kimya hivyo hivyo watu akili zitusogee. Mambo yakizidi kuwa magumu sisi wenyewe tutajiongeza[emoji3]
Shida ya Chadema ni ruzuku tu na wala hawana mpango wa kuchukuwa Dola!!
 
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.

Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!

Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID

Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi na Magufuli/ Bashiru in 2020, and many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Halafu sisi tunafanya mapenzi na wake zetu Mbowe yupo magereza
 
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.

Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!

Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID

Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi na Magufuli/ Bashiru in 2020, and many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
Tukae kwa kutulia tuu,kwani izi pigo hao ccm wapiga kura inamaana na wao hawaumii,kma unauchungu wewe andamana,Mimi Niko pale kusubili matokeo ya kuandamana kwako.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Kila mtanzania ni mlamba asali. Tuache tabia ya kunyoshana kidole eti fulani kalamba asali wakati wewe mwenyewe ndio ziro kabisa. Tena afadhali ya huyo unayemuonyeshea kidole

WATZ WOTE NI WALAMBA ASALI NDIO MAANA HATUCHUKUI ATUA ZOZOZTE ZILE PALE WATAWALA WANAPOFANYA MAUJINGA
 
asante sana. Vyama vya upinzani vinatupa dira, uongozi, sisi tunatoka barabarani tunaandamana kwa amani kabisa kudai demokrasia na haki . Ni kuwapa pressure watawala kuwa mambo hayako sawa. Na wala hakuna fujo, ni haki ya kikatiba! itafika mahali wata-surrender maana ukweli wanauona lakini hawataki kutenda haki na ukweli!
Hakuna maandamano yasiyo na fujo
 
Tunamsakizia Mbowe na Chadema, na kumlaumu Mbowe eti kalamba asali. Hapana nasi tutoke hadharani tupambane na polisi tufe kama wanavyofanya Iran. Tunataka Lissu na Mbowe wafe peke yao.

Toka hadharani tupigwe risasi 16. Sisi, mimi na wewe tu maJioga tunajificha kwenye ID fake hapa JF, tunamsakizia Mbowe!

Eti kalamba asali, mara hajasema lolote kuhusu tozo, umeme, maji na madhira tunayopitia. Ingia barabarani mimi na wewe na si Mbowe na Chadema wakati sisi majioga tupo hapa JF na fake ID

Mbowe kafungwa almost mwaka mzima kwa uonevu (wakaona aibu wakamtoa na kumuita Ikulu), kafilisiwa biashara zake, kanyimwa ubunge wa wazi na Magufuli/ Bashiru in 2020, and many many more atrocities he has suffered kutetea demokrasia, leo eti analamba sali!
We jamaa tutoke kama wa irani ili watuvunje, watuharibu sura? kwanza Imeandikwa Yamfaa mmoja (au wawili, au watatu) kufa kwa ajili ya wengi sisi kina nani tupingane na maandiko.
 
Mbona huko Bungeni wanaenda peke yao na ma V8 yao,na posho Wana sign kimyakimya, Ila kwenye kuaandamana ndiyo wanataka msaada wetu wa kwenda front! Tumesanuka wao ndiyo waingie road na Kisha watuletee feedback ya maandamano yao! Upinzani Tanzania ni waoga sana, ndiyo maana Sasa nao wameaamua kuwa walamba Asali tu!!
Wanafikiri watanzania wote ni closed mind tunaelewa ,na sasa hatupo nyuma ni lazima tuwasukume viongozi wetu wasile posho na mishahara bure,kiongozi unapogombea kiti ni lazima umeshatambua wajibu wako na unawakilisha umma mambo ya kusema jaribuni nyie kuingia road ni udhaifu wa kiongozi,bora hata lema kasimamia anachokiamini
 
We jamaa tutoke kama wa irani ili watuvunje, watuharibu sura? kwanza Imeandikwa Yamfaa mmoja (au wawili, au watatu) kufa kwa ajili ya wengi sisi kina nani tupingane na maandiko.

Hizi nchi ambazo wananchi walitoka na kufanikisha kuilazimu serikal kubadili maamuzi yake wao wanafanya kwa style gani?
 
Hizi nchi ambazo wananchi walitoka na kufanikisha kuilazimu serikal kubadili maamuzi yake wao wanafanya kwa style gani?
Inategemea na ideological composition ya population. Nchi hizi zinakua zina watu wenye fikra za kimapunduzi zaidi ya percentage flani ya population kwa Tanzania watu wenye fikra hizi bado ni wachache sana.
Unawaona wale watu waliolia kwenye msiba wa Magufuli mpaka wanatandika nguo barabarani mpaka watakapobadili fikra zao wale jamaa hapo tunaweza shinikiza serikali ifanye mabadiliko kinyume na hapo tutajikuta barabarani tupo 300 tukidhibitiwa na polisi 900 wenye mabomu ni kutafuta vilema visivyona sababu.
 
Hahahaha hivi kwenye lile bomu alilolipua gaidi kule Arusha enzi za JK alikuwepo au alilitega tu akasepa? Hivi watoto wa mbowe huwa wanakuwepo kwenye maandamano.

Sasa hivi Mbowei yuko majuu kaenda kulamba asali ya wazungu hahahaha, naona kalamba ya bongo ya nyuki wadogo basi kaona aifuate na watasha.
stiff necked fool
 
CCM imewajaza Watanzania uoga kama watu wa North Korea. Hata maisha yawe magumu kiasi gani, watanung'unika lakini watavumilia. Enzi za Nyerere watu walivaa viraka, walilala njaa, walipanga foleni kununua sukari, vitu vingi viliadimika lakini watu walivumilia tu. CCM inajua fika inatawala taifa la waoga.
Hii hoja ya uoga mie naipinga.
 
kama hupokei ruzuku kalisha matako yako kwenu ulimlaumu mbowe endelea kupigika kwenu au kufa lakin sio kumtaja mbowe kwa upunga wako.
Ila mwenyewe Mbowe anakubali kulaumiwa anaambiwa hadi analamba asali inamkera ila anavumilia ndio uongozi huo.
 
Back
Top Bottom