Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
Kwa akili zenu . Nikuwa ukiumizwa na system urudi ushukuru na kupiga magoti ?! . Huo ni unyama zaidi ya mkoloni mjerumaniMbona tundu alisema kipindi cha kampeni kwamba amewasamehe wote watesi wake ila nikiona twit zake kule Twitter yule bwana bado anakinyongo.
Usalama upi? kwanza hujui chochote kuhusu usalamaTundu Lissu hafai kuwa Rais wa JMT. Mimi siyo CCM wala CHADEMA, yaani sina chama. Lakini sina trust na Lisu kabisa kwa usalama wa Taifa letu.
Rest easyN
Mbwiga yule boss wenu Lisu analilia mafao ya ubunge!
Tukubali tu Mungu hataniwiLisu kafa?
Hawa watu ni mashetani kabisa. Na hawatapata amani hata wakiwa ndani ya makaburi yao.View attachment 1734641
Ilikuwa azikwe fastafasta na ni marufuku kuomboleza
Huenda Waziri Mkuu angetudanganya na kutuambia kuwa Lissu kajishambulia kwa risasi
Happy tako lako linahitajika instantlyLabda tuvae viatu vya usaliti kwa nchi yake.
Wakati tunapigania madini alisimama upande wa mabeberu.
Hiyo siyo kweli. Lissu alikuwa mpinzani mkubwa dhidi ya mikataba ya hovyo ya uchmbaji dhahabu iliyosababisha wachimbaji wadogo wafukiwe kwenye migodi. Kwa kufanya hivyo aliitwa mchochezi akawekwa ndani na kufunguliwa mashtaka. Wasaliti ni wale walioingia na kusaini mikataba ya hovyo. Ajabu haohao waliosaini hiyo mikataba wakaja kulalamika kuwa ni mikataba ya kinyonyajiLabda tuvae viatu vya usaliti kwa nchi yake.
Wakati tunapigania madini alisimama upande wa mabeberu.
Kwani haikuwa haki yake ?!Lisu analilia mafao ya ubunge aliyodhulumiwa na Ndugai!
Kusamehe siyo kusahau.Mbona tundu alisema kipindi cha kampeni kwamba amewasamehe wote watesi wake ila nikiona twit zake kule Twitter yule bwana bado anakinyongo.
Mtu amefariki lkn Bado unamnanga kiukweli huo si ubinadam kabisa lissu sahv sijui amekuwaje ?Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
simpendi sana Lissu na chama chenu cha chadema.Kusamehe siyo kusahau.
Lissu alifanyiwa ukatili mkubwa mnooooo. It's very painful.
Halafu hata hakustahili adhabu hiyo. Dola nzima ilipambana naye wakati akiwa mahututi Nairobi.
Kwa akili zenu . Nikuwa ukiumizwa na system urudi ushukuru na kupiga magoti ?!Kwa akili zenu . Nikuwa ukiumizwa na system urudi ushukuru na kupiga magoti ?! . Huo ni unyama zaidi ya mkoloni mjerumani
Haishangazi kwani hiyo ni haki yako lakini pia lazima ujue na kukubali kuwa wapo wanaoichukia CCM na viongozi wake ni haki yao ya kikatiba.simpendi sana Lissu na chama chenu cha chadema.
That fool amefanya campaign zote hukuwahi dhihirisha vision yake zaidi ya kumsema Magufuli ,Lisu hawezi kuwa kiongozi mzuri.
Anaropokwa sana,chuki kibao.
Akajifunze kwa Raila Odinga,alimsamehe Moi na yakaisha,huo ndio uanaume,na kuenda kumzika alienda.
Angeweza kujijengea jina sana kama angekaa kimya for now msiba upite.
TZ itajengwa na wananchi wazalendo,kuendelea kumponda Magu haisaidii wala kupunguza chochote.
Ajikite katika kujenga hoja madhubuti na zenye kuleta matokeo chanya kwa jamii.
So anataka kucelebrate mpaka when?
Ok muda ni mwalimu mzuri.
Kwani makinikia haziendi ?!. Haya yote alaumiwe MkapaThat fool amefanya campaign zote hukuwahi dhihirisha vision yake zaidi ya kumsema Magufuli ,
Hana vision yule, he can only criticize other people Vision,
Kama aliamua ku side na Mzungu kwenye makinikia and they both lost it that is good for nothing lunatic.
cha ajabu kwani lisu ndie aliyetunga sheria makinikia yawe yanasafulishwaKwani makinikia haziendi ?!. Haya yote alaumiwe Mkapa
I agree with you on that, JPM tried his best to fix the deeds of his predecessors and the ccm mafia,Kwani makinikia haziendi ?!. Haya yote alaumiwe Mkapa
Wasalaam wapendwa!
Kila mara humu mtu ukisoma vizuri comments za kila mada huwezi kupita bila kukutana na neno UNAFKI. Hili neno linasemwa kulingana na sisi wenyewe tulivyo na vitabia vyetu.
Hivi Tundu Lissu kabla haijapigwa risasi akachungulia kaburi na kurudi tuwahi kusikia akiitwa msaliti na nani?
Hebu vaa viatu vyake chukulia kua wewe ni tundu Lissu,
1. Upigwe risasi 16 saa 7 mchana kweupe na mpaka leo hii wasijulikane waliotenda tukio hilo
2. Chukulia wewe ndio Tundu Lissu unyimwe gharama za matibabu yako kama mbunge bila sababu yeyote ya msingi
3. Chukulia wewe ndio Tundu Lissu mpaka leo unyimwe nafsi yako ya ubunge na stahiki ziingine
4. Chukulia hii wewe ni Tundu Lissu unaporwa ubunge wako hadharani bila sababu ya msingi
6. Chukulia wewe ndio yeye unapata matatizo watu wanazuiwa hata kukusanyika kukuombea kwa Mola upone
6. Chukulia wewe ni Tundu Lissu unaarifiwa na vyanzo vya ndani ya mfumo kama asemavyo yeye kua ilitolewa amri kua shughuli ilitakiwa imalizike mapema kisha apumzishwe haraka kijijini kwao mapema bila kuagwa, hivi kwa maneno haya upendo utoke wapi?
Tunaomwita Lissu mtumwa wa Mabeberu hebu mfikirieni na yeye kwa vyote aliyofikia nayo. Mbona hatukumwita msaliti kabla? Hivi yeye si binadamu na asinune wala kuchukua ana moyo wa chuma?