Mbona stori nyiiingi kama serikali haipo?Tumkumbuke JPM kwa lipi?? Aliiba na kuficha hela uchina, aliruhusu akina Sabaya na Makonda wawapole watu hela kwa jina lake, hakupenda kusikia serikali yake ikisemwa bali alipenda sana kusifiwa kwa data za uongo uongo... alikuwa Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii
Aliongea sana kapelekewa moto eti anaenda kuzuga na ist kukabidhi ofisi.Hivi Profesa Assad alihoji nini akapewa umeme?
1.5 trillionsKwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!
Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule
Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,
JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!
Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?
Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
Ujinga mtupu1.5 trillions
Plea bargain
Mayanga construction
Bajeti yake ya ikulu hakuruhusu ikaguliwe
Acha utani Uchwara alikuwa jizi la kutisha
Asad huyo aliposimamishwa aseme kama pesa zimeibiwa alikataa sasa wewe umsemee kivipi?JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana
Hakuruhu ikaguliwe na sasa bado yuko ofisini?1.5 trillions
Plea bargain
Mayanga construction
Bajeti yake ya ikulu hakuruhusu ikaguliwe
Acha utani Uchwara alikuwa jizi la kutisha
Umenisaidia kumjibu. Bora Samia anamwacha cag afanye kazi yake.JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana
Aseme zimeibiwa ili iweje, ili afe?Asad huyo aliposimamishwa aseme kama pesa zimeibiwa alikataa sasa wewe umsemee kivipi?
Tulijiuliza magufuli unamchukiaje mtu anaye onyesha ufisadi na matumizi mabaya ya fedha tulitegemea ampende ila alimchukia sana huku ukisema wewe unapinga ufisadi tukaona hapa kuna maigizoUmenisaidia kumjibu. Bora Samia anamwacha cag afanye kazi yake.
Mwizi hakubali kukaguliwa.Tulijiuliza magufuli unamchukiaje mtu anaye onyesha ufisadi na matumizi mabaya ya fedha tulitegemea ampende ila alimchukia sana huku ukisema wewe unapinga ufisadi tukaona hapa kuna maigizo
Angekula kichwa wakat, mabilioni ya plea bargain, ttcl na ndege hasara kasababisha yeye
Asiyempenda Magufuli na kumkumbuka ni hao majizi!
Nendeni mkachukue, si mnajua ziliko?Nani anamkubali jizi lililokuwa na kiburi cha madaraka? Rudisheni pesa zetu za plea bargaining majizi wakubwa nyie.
Tukachukue hela za dhalimu na genge lake waliokuwa wanaigiza ni wazalendo?Ne
Nendeni mkachukue, si mnajua ziliko?
Yaliyokuwa yanagawa gawio ni mashirika binafsi ambayo serikali ina hisa humo ndani. NMB, NBC, PUMA. UsipotosheTatizo yule bwana mkubwa alikuwa muongo alituaminisa mashirika yana pata faida na yanagawa gawio
Ndo mnavyokuwa kama nyumbu, mkisikia pesa zimefichwa china, haoo mnarukia mada ooh JPM kaiba pesa. Mnq ushahidi? Haya tuseme yanayotokea sasa mama anahusika? Kwa vile watendaji wake ndo wamefanya. Anaesemekana alihusika na plea bargaining yupo na ndo kwanza sa100 kamchqgua kuwa jaji, upo?Tumkumbuke JPM kwa lipi?? Aliiba na kuficha hela uchina, aliruhusu akina Sabaya na Makonda wawapole watu hela kwa jina lake, hakupenda kusikia serikali yake ikisemwa bali alipenda sana kusifiwa kwa data za uongo uongo... alikuwa Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii