Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

Tumkumbuke JPM kwa lipi?? Aliiba na kuficha hela uchina, aliruhusu akina Sabaya na Makonda wawapole watu hela kwa jina lake, hakupenda kusikia serikali yake ikisemwa bali alipenda sana kusifiwa kwa data za uongo uongo... alikuwa Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii
Mbona stori nyiiingi kama serikali haipo?

Yaani tunahangaika kwenda kukopa wakati kuna mapesa China?

Kwani nauli Shi ngapi ya kwenda huko kulinganisha na mapesa yetu?
 
Kwa report hii ya mkaguzi wa fedha za Serikali CAG kuwa na upotevu mkubwa wa mabilioni ya fedha za wavuja jasho masikini wa Kitanzania, walah JPM angekula vichwa vyote na kujiongezea wapinzani wapya leo!

Nchi hii bila kitengo cha kuwapoteza hawa mafisadi ni sawa na kufuga mbwa kichaa mwenye uwezo wa kupanda na kuzalisha mitoto mingine yenye ukichaa Uleule

Huyu JPM anayesemwa kuwa ni mwizi,

JPM hana nyumba Ughaibuni kama wenzake! Hana hotel yoyote, hana mashamba na wala uwekezaji wowote ule nchini na nje Nchi!

Huo uwizi unaodaiwa kufanywa na yeye, alipeleka wapi na kwenye uwekezaji upi zaidi ya madaraja makubwa nchini na miundombinu mingine?

Haya tuendeleeni kayalea haya majibwa kichaa kama yataona huruma kutafuna pesa zetu!
1.5 trillions
Plea bargain
Mayanga construction
Bajeti yake ya ikulu hakuruhusu ikaguliwe
Acha utani Uchwara alikuwa jizi la kutisha
 
Mkurugenzi wa TAKUKURU ni mteule wa Ikulu, hakuna malipo makubwa ya serikali, kule awajuhi.

Kwaiyo yule mpemba anaweza kumchunguza mpemba mwenzake?
 
1.5 trillions
Plea bargain
Mayanga construction
Bajeti yake ya ikulu hakuruhusu ikaguliwe
Acha utani Uchwara alikuwa jizi la kutisha
Ujinga mtupu


Ndiyo maana wanaendelea kula kwa dizaini ya watu aina yako.
 
JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana
Asad huyo aliposimamishwa aseme kama pesa zimeibiwa alikataa sasa wewe umsemee kivipi?
 
1.5 trillions
Plea bargain
Mayanga construction
Bajeti yake ya ikulu hakuruhusu ikaguliwe
Acha utani Uchwara alikuwa jizi la kutisha
Hakuruhu ikaguliwe na sasa bado yuko ofisini?
Mayanga construction imeonekana kwenye ripoti hii ya CAG?
1.5t ilienda wapi na wakati huyo jamaa hana anachomiki?

Mbona akili unayo Mkuu?
 
JPM huyu huyu aliingia mitini na trillion 1.5 alafu akamchukia assad kwa kusema ukweli na akavunja katiba akamuondoa kihuni usifanye watu kama watoto au wajinga kama wewe tunakumbuka vizuri sana
Umenisaidia kumjibu. Bora Samia anamwacha cag afanye kazi yake.
 
Lakini kitendo chake cha kumfuta CAG ambaye alikua akifichua vitu kama hivi ni ishara kua hakutaka uozo uonekane. Kwa maana hiyo hatujui ni uozo kiasi gani ulikuepo kwenye wakati wake. Mtu wa aina io moja kwa moja ni kua ana uozo wa kutisha
 
Tulijiuliza magufuli unamchukiaje mtu anaye onyesha ufisadi na matumizi mabaya ya fedha tulitegemea ampende ila alimchukia sana huku ukisema wewe unapinga ufisadi tukaona hapa kuna maigizo
Mwizi hakubali kukaguliwa.
 
Asiyempenda Magufuli na kumkumbuka ni hao majizi!
 
Asiyempenda Magufuli na kumkumbuka ni hao majizi!

Nani anamkubali jizi lililokuwa na kiburi cha madaraka? Rudisheni pesa zetu za plea bargaining majizi wakubwa nyie.
 
Ne
Nani anamkubali jizi lililokuwa na kiburi cha madaraka? Rudisheni pesa zetu za plea bargaining majizi wakubwa nyie.
Nendeni mkachukue, si mnajua ziliko?
 
Tatizo yule bwana mkubwa alikuwa muongo alituaminisa mashirika yana pata faida na yanagawa gawio
Yaliyokuwa yanagawa gawio ni mashirika binafsi ambayo serikali ina hisa humo ndani. NMB, NBC, PUMA. Usipotoshe
 
Tumkumbuke JPM kwa lipi?? Aliiba na kuficha hela uchina, aliruhusu akina Sabaya na Makonda wawapole watu hela kwa jina lake, hakupenda kusikia serikali yake ikisemwa bali alipenda sana kusifiwa kwa data za uongo uongo... alikuwa Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii
Ndo mnavyokuwa kama nyumbu, mkisikia pesa zimefichwa china, haoo mnarukia mada ooh JPM kaiba pesa. Mnq ushahidi? Haya tuseme yanayotokea sasa mama anahusika? Kwa vile watendaji wake ndo wamefanya. Anaesemekana alihusika na plea bargaining yupo na ndo kwanza sa100 kamchqgua kuwa jaji, upo?
 
Back
Top Bottom