Tunasisitiza haki kutendeka kwa mashehe wa Kiislamu wa Uamsho kutoka Zanzibar

Nenda Guantanamo Bay ukajifunze mambo ya haki
 
Hao ni Magaidi +
 
Hii mada mbona inajirudia kila wakati? Kama watu wamevunja sheria kwa nini unakosa usingizi? Au uliwatuma wewe?
 
Huyu mama hana akili ya kipumbavu hivyo, sio narrow minded hivyo


Pia kwenye hilo sababu linagusa maswala ya kiusalama inawezakana Mama akawa siyo wa mwisho kuamua isipokuwa vyombo vya dola na usalama wa nchi.

Tuukatae ugaidi kwa nguvu zote!
 
muislamu ndugu yake muislamu mwenzie lakini raisi kikwete ndiye aliyewafunga
 
Zaidi ya Polisi @ Uhuru.

Nimeandika vyombo vya Usalama siyo Jeshi la Polisi pekee .

Likitokea la kutokea matharani Ugaidi na usalama kuwa shakani wao huwa hawalali.
Hao wote wanatumika na ccm au tuseme wanatumika kisiasa kuanzia hao usalama wa taifa hadi jeshi lenye kufanya mazoezi barabarani ili kuwatisha rai na hao polisi ndio kama wanavyojulikana.
 
Mashehe wa UAMSHO wanaingia miaka tisa - Watu hawana hata harufu ya Ugaidi ukiulizia kwanini wapo ndani na hawapaswi kutembelewa unaambiwa ,ni amri kutoka juu .sasa Juu wapi ? Mbinguni au kwa Raisi ?
Au kwa kuwa ni waislamu tu ndio mkawafanyia hivi ? Eti magaidi hivi mnawajuwa magaidi au mnawasikia tu ? Nina hakika kama hao wengekuwa magaidi basi kingekwishanuka zamani sana,kuna nchi hazijakamata hata gaidi mmoja ila mnakijua kinachotokea. Eti hawa mashee wanashtakiwa kwa makosa ya ugaidi ,shukuruni mmewakuta watanzania walio wengi ni watu wa ajabu si raia si majeshi.
 
Likely this is the less evil compared to what they did
 
Watatoka bana, i predict, ila tukubali serikali ina taarifa nyingi sana wengine hamjui. Naamini wataachiwa
 
Watatoka bana, i predict, ila tukubali serikali ina taarifa nyingi sana wengine hamjui. Naamini wataachiwa

Watatoka sasa wakiwa wamekwisha dhulumiwa mno baada ya maelekezo kutoka juu kuwa sasa yamekoma hatimaye.
 
Fitna kwa Samia Suluhu zimeshaanza.

Tunawafahamu.
 
Wewe um

Wewe umezaliwa lini?
Unajua waliingia kwa kosa gani na nini kikichosababisha wapelekwe huko?

Kama hujui lejea wakatibwa matamkobyao na matuku9byaliyokuwa yanatendeka huko zanziba.

Mara makanisa kuchomwa na mapadri kupigwa risasi na watalii pia kupigwa risasi,
Kuna mashee wasio wa uamsho walitegwa milipuko kwenye majumba yao
Sasa iam hujui historia hiyo ukae kimya.

Na toka walipokamatwa zamziba iko shwari mpaka sasa hakuna ujingaujinga.
 
Madai haya hapo ya mdau wa JF ananiuliza .

Wewe umezaliwa lini?
Unajua waliingia kwa kosa gani na nini kikichosababisha wapelekwe huko?

Kama hujui lejea wakatibwa matamkobyao na matuku9byaliyokuwa yanatendeka huko zanziba.

Mara makanisa kuchomwa na mapadri kupigwa risasi na watalii pia kupigwa risasi,
Kuna mashee wasio wa uamsho walitegwa milipuko kwenye majumba yao
Sasa iam hujui historia hiyo ukae kimya.

Na toka walipokamatwa zamziba iko shwari mpaka sasa hakuna ujingaujinga.


Ameandika kuhusiana na mashekhe wa Taasisi ya Uamsho,bahati mbaya ushahidi huo haupo mahakamani na kama upo aupelekea ili kesi iamuliwe. na moderators tukiandika habari za kuwazungumzia mashee wa Taasisi ya uamsho mnakuja mbio mnaondoa,kwa vile ni waislamu au inakuwaje hapo ?
 
Hawa ni watuhumiwa wa ugaidi!! Zungumzia watuhumiwa wa ugaidi, siyo mashehe!!
 
Hawa si magaidi bali ni watuhumiwa wa ugaidi!! Acha mamlaka zinazohusika zilishughulikie jambo hili bila shinikizo. Pili hawa hawako rumande kwa ajili ya uislamu wao au kwa ajili ya ushehe wao! Wako rumande kwa ajili ya utuhumiwa wao wa ugaidi!! Walisumbua sana huko Zanzibar wakati wa rais Shein! Wako katika mikono salama!!
 
Hawa si magaidi bali ni watuhumiwa wa ugaidi!! Acha mamlaka zinazohusika zilishughulikie jambo hili bila shinikizo. Pili hawa hawako rumande kwa ajili ya uislamu wao au kwa ajili ya ushehe wao! Wako rumande kwa ajili ya utuhumiwa wao wa ugaidi!! Walisumbua sana huko Zanzibar wakati wa rais Shein! Wako katika mikono salama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…