Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Tunataka Paul Makonda awe accountable kwa matendo yake ya kuvunja haki za binadamu

Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.
Tnataka awajibishwe
Dogo Serikali inaenda hatua kwa hatua. Ilianza na Ole Sabaya. Sasa hivi inamshughulikia Gaidi Mbowe. Baada yake itaangalia nani anafuata. So, be patient!
 
bashite anatakiwa kuwa indicted. na jinai haifi. pia mali zake na majumba kule mwanza na hapo dsm kuna siku vitanyang'anywa tu. hivi wale walioporwa mipesa si wajitokeze wachukue mpunga wao, sasahivi hana nguvu yeyote.
Nyinyi wauza madawa aliwanyoosha sana mpaka sasa hivi wengine wako jela wananyea madebe. Naona mmeshindwa kurudi kwenye biashara zenu. Jaribuni kurudi muone cha mtema kuni mkanyee debe kama Gaidi Mbowe hahahahaha...
 
goli la mkono la Nape lilikuwa la kisiasa zaidi kuliko mtu aliyetesa nafsi na kupora magari na mipesa. ile clip ya clouds hadi umoja wa mataifa wanayo. siku kesi ikianza hadi Pompeo atakuja kutoa ushahidi kwasababu watu wengi wanamtamani balaa.
Nimesema angalau yeye nape hakutoa uhai wa watu, ni mwenzetu kisiasa kama mpinzani wetu....
 
Masikini hupiga kelele nyingi matajiri wanapoumizwa ila matajiri huangalia fulsa pale masikini wanapoumizwa.

#Ginsiku
 
Nyinyi wauza madawa aliwanyoosha sana mpaka sasa hivi wengine wako jela wananyea madebe. Naona mmeshindwa kurudi kwenye biashara zenu. Jaribuni kurudi muone cha mtema kuni mkanyee debe kama Gaidi Mbowe hahahahaha...
aliwanyoosha kwa kunyang'anya pesa na magari. mtu pekee aliyekuja kuteketeza wauza unga ni yule Kamishna wa madawa aliyestaafu Mmasai, akaja pia Kamishna Kaji, na sasa kamishna huyu mpya, hawa wanafanya kazi kwa welezi sio kisiasa.

kati ya watu wote wanaouza unga bashite alimkamata nani zaidi ya kuwachafulia majina tu na hakuna kilichotokea? hao kina Rizmoko aliowataja kulikuwa na ukweli? kama kulikuwa na ukweli wamefanywa nini? alikuwa anakuomba hela ukikataa anakutishia kukutaja, halafu anakutaja kweli.

kuna watu wengine kama kina manji, ipo wazi hawauzi unga, ila wanabwia unga, ni mateja, huwezi kumtreat teja kama muuza unga kwasababu teja ni victim anahitaji msaada.

mali za bashite zikilinganishwa na cheo chake atatakiwa apokonywe everything. alikuwa na mipesa hadi alikuwa anagawa kwa kina Kaseja na Manula kama....vile.mwanaume unampa mwanaume mwenzio hela....aibu gani hii?
 
Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.
Tnataka awajibishwe
Naunga mkono hoja, pia nitakuwa tayari kujitolea kutoa ushahidi kama Mzee wa vilipuzi nawasbirika wake🏋️.
 
Wajitokeze basi kufungua kesi jinai nani Clouds ? Wanafiki hao
 
aliwanyoosha kwa kunyang'anya pesa na magari. mtu pekee aliyekuja kuteketeza wauza unga ni yule Kamishna wa madawa aliyestaafu Mmasai, akaja pia Kamishna Kaji, na sasa kamishna huyu mpya, hawa wanafanya kazi kwa welezi sio kisiasa.

kati ya watu wote wanaouza unga bashite alimkamata nani zaidi ya kuwachafulia majina tu na hakuna kilichotokea? hao kina Rizmoko aliowataja kulikuwa na ukweli? kama kulikuwa na ukweli wamefanywa nini? alikuwa anakuomba hela ukikataa anakutishia kukutaja, halafu anakutaja kweli.

kuna watu wengine kama kina manji, ipo wazi hawauzi unga, ila wanabwia unga, ni mateja, huwezi kumtreat teja kama muuza unga kwasababu teja ni victim anahitaji msaada.

mali za bashite zikilinganishwa na cheo chake atatakiwa apokonywe everything. alikuwa na mipesa hadi alikuwa anagawa kwa kina Kaseja na Manula kama....vile.mwanaume unampa mwanaume mwenzio hela....aibu gani hii?
Hivi hujui hata hiyo Idara ya Kupambana na Madawa ilikuwa haijaanzishwa wakati sheria ilikuwa imeshapitishwa na Bunge na Kusainiwa na Rais muda mrefu tu!! Bila movement ya kupambana na hao wauza madawa iliyofanywa na Makonda may be nyinyi wauza madawa msingekuwa mmethibitiwa?
 
yaani kwenye ile clip ya clouds anaonekana wazi kabisa, ile ni armed robbery kama ya sabaya tu.
 
Ccm haina nia ya kumshughulikia kiongozi wake yeyote awe kala rushwa ,kaiba ,kadhurumu MTU ,kaua au kosa lolote lile.....

Ukiona kiongozi wa ccm kashtakiwa na serikali jua kuwa

Wanamtoa kafara kwa wananchi ,wanakomoana, au visasi kati ya MTU na MTU,

Hawana uchungu na wananchi, ivyo makonda afanywi chochote

Sabaya mwenyewe anapelekeshwa kwa sababu ya kesi ya mbowe ,wanamtumia kuzuga kuwa hata MTU wao wamemfunga


Lakini watamwachia tu,
 
Dogo Serikali inaenda hatua kwa hatua. Ilianza na Ole Sabaya. Sasa hivi inamshughulikia Gaidi Mbowe. Baada yake itaangalia nani anafuata. So, be patient!
Kuwa na adabu! Nitakupiga tofali maana humu JF lazima muda mwingine kuweka chekeche ubaki na sensible ones to respond to!
 
Tunaomba Jumuiya ya Kimataifa itusaide kumwajibsha Makonda. Ushahidi upo tele na USA alishaweka bayana wapi pa kuanzia.
Tnataka awajibishwe
Acha biashara ya madawa ya kulevya wewe!
 
Hivi hujui hata hiyo Idara ya Kupambana na Madawa ilikuwa haijaanzishwa wakati sheria ilikuwa imeshapitishwa na Bunge na Kusainiwa na Rais muda mrefu tu!! Bila movement ya kupambana na hao wauza madawa iliyofanywa na Makonda may be nyinyi wauza madawa msingekuwa mmethibitiwa?
acha ujinga, kati ya movement zote za Bashite, ni ipi iliwahi kufanikiwa? kudhalilisha wanawake waliozalishwa watoto/watoto wa kambo, madawa ya kulevya, mashoga, kutokuja mjini bila kuoga n.k,

unamaana kabla ya 2015 hapakuwa na sheria ya madawa wala kitengo cha madawa? Kamishna Nzowa alikuwa anafanya kazi gani? kilikuwepo lakini ndani ya jeshi la polisi na walikuwa wapo vizuri tu. sheria yenyewe ya madawa kabla ya mengine ni ya 2015 even before mwendazake hajawa rais. hata wewe kama ulifaidika na bashite siku yako yaja, utakuja kutapika hizo hela za dhurma. wapambe wa sabaya sasaivi wapo wapi? kama sio kumfukuzia Jesca/mchumbake huku nje yeye akiwa ndani? kwa kiburi kileee
 
acha ujinga, kati ya movement zote za Bashite, ni ipi iliwahi kufanikiwa? kudhalilisha wanawake waliozalishwa watoto/watoto wa kambo, madawa ya kulevya, mashoga, kutokuja mjini bila kuoga n.k,

unamaana kabla ya 2015 hapakuwa na sheria ya madawa wala kitengo cha madawa? Kamishna Nzowa alikuwa anafanya kazi gani? kilikuwepo lakini ndani ya jeshi la polisi na walikuwa wapo vizuri tu. sheria yenyewe ya madawa kabla ya mengine ni ya 2015 even before mwendazake hajawa rais. hata wewe kama ulifaidika na bashite siku yako yaja, utakuja kutapika hizo hela za dhurma. wapambe wa sabaya sasaivi wapo wapi? kama sio kumfukuzia Jesca/mchumbake huku nje yeye akiwa ndani? kwa kiburi kileee
Vipi biashara yako ya madawa umeshaacha?
 
Back
Top Bottom