BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Ndio maana me nimemwambia hapo juu hawezi iuza kwa bei hiyo. Tena hata huyo wa 95 ni dalali kama yeyeHii imeshapostiwa tangu jana tena ilikuwa Milioni 95! [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana me nimemwambia hapo juu hawezi iuza kwa bei hiyo. Tena hata huyo wa 95 ni dalali kama yeyeHii imeshapostiwa tangu jana tena ilikuwa Milioni 95! [emoji23][emoji23][emoji23]
Tusaidie mkuu wangu. Maana duniani kusaidiana aisee. Mtu usije ingia chaka. ShukraniHiyo Nyumba huwezi kuiuza bei hiyo .
Niulize kwanini
Ilishaletwa humu kwa bei ya 95, leo ameileta kwa bei ya 100Tusaidie mkuu wangu. Maana duniani kusaidiana aisee. Mtu usije ingia chaka. Shukrani
tuwasiliane..0677 818283hapo boma ipo street gani tuje tuongee
Ohhh kumbe . Asante Mkuu.. Na ukipata dalali mwingine yule original wa hiyo nyumba itakuwa bei chini zaidi. Ukifanikiwa kumpata mmiliki kupitia kwa majirani basi ujue nyumba haivuki 60m. Hiyo ndiyo kazi za madalali kusimamisha biashara. Mimi nilitaka kuuza mali yangu nita post mwenyewe social media zote. Nina baadhi ya assets huwa napangisha lakini huwa hakuna dalali. Wateja na wenye mali wanaumizwa sana na madalali. Huo ndiyo ukweli na ukweli tuwaambie nyie madalali jirekebisheni.Ilishaletwa humu kwa bei ya 95, leo ameileta kwa bei ya 100
huyo sio dalali bali anajifunza udalali.Sijui kwanini madalali mna hii tabia yakupanik mkikosolewa.
Nyumba nzuri hivyo, maswahibu gani yamekukuta mkuu!Nyumba inauzwa BEI YA KUTUPA...Kimara Temboni
MILIONI 50 TU... 0677 818283
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina nyumba nyingine ndogo ya chumba na sebule + fremu ya biashara
Eneo la kiwanja ni 20 kwa 20 (sqm 400)
Nyumba ipo km 1.5 kutoka Morogoro road
BEI NI MILIONI 50 TU......Wahi sasa
Mawasiliano 0677 818283
View attachment 1780006View attachment 1780007View attachment 1780010View attachment 1780011View attachment 1780012View attachment 1780006View attachment 1780007View attachment 1780010View attachment 1780011View attachment 1780012View attachment 1780013View attachment 1780014
karibuuuNyumba nzuri hivyo, maswahibu gani yamekukuta mkuu!
majadiliano gan tena mkuuuTujadiliane!!
Kuhusu bei na mazingira ya nyumba. Kwanza je unaweza Unaweza kuomnyesha mazingira ya nje ya nyumba hiyo?majadiliano gan tena mkuuu