House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
nyumba zina privacy za watu..na ni wapangaji
sio vyema kupiga picha mazingira yao na kuzipost mtandaoni
kama unahitaji kuona zaidi unaweza kwenda kuoneshwa
Toa hata ramani ya nyumba na kila nyumba ina sqm ngapi, hivyo ndio vitu vinavyoweza kumvuta mwekezaji.

Na ninarudia tena kama hizo nyumba na valuation yako sio "famba" the best nikuchukua mkopo, kwa hiyo unaua ndege watatu kwa jiwe moja ,
Mosi una rescue biashara zako
Pili unabakiwa na nyumba zako asset
Tatu utapata zaidi huko mbeleni kwani nyumba huongezeka thamani.

Ama sivyo utapoteza hiyo biashara yako na nyumba pia unaweza kupoteza kwa kuuza cheaply due to pressure na other risk factors zinazo endana na biashara yako maana hali inaonekana si hali
 
Toa hata ramani ya nyumba na kila nyumba ina sqm ngapi, hivyo ndio vitu vinavyoweza kumvuta mwekezaji.

Na ninarudia tena kama hizo nyumba na valuation yako sio "famba" the best nikuchukua mkopo, kwa hiyo unaua ndege watatu kwa jiwe moja ,
Mosi una rescue biashara zako...
hii ni nyumba ya biashara sio ya kukaa mteja.. mteja anachotak akujua ni itamuingizia kiasi gani kwa uwekezaji atako fanya..kama anahitaji mengne kujua tumeweka namba za simu
 
Kuna wengine ndiyo biashara yao kujenga na kuuza..... Bati chakavu wameziba matundu zinapigwa rangi, tofali Nchi 4, mbao za kenchi marijekti/ zilizotumika zikaungwa ungwa...lakini kwa ajili ya Marumaru na Cellingboard ya Jipusamu unaingia mkenge...... Angalia sana hivi vitu....
Ohoooo!!!
 
Back
Top Bottom