House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
Nyumba 4 za kupangisha zina wapangaji wanalipa laki 3 kwa mwezi

Kwa mwaka nilikuwa naingiza milioni 14

Kila nyumba ina vyumba viwili

Nina shida sana katika biashara zangu

Nakupa nyumba zote hizi kwa milioni 150 tu

WAHI SASA

Nyumba zipo Tabata Segerea

View attachment 1761249View attachment 1761250View attachment 1761251View attachment 1761252View attachment 1761253
150,000,000/14,000,000 = 10.7 years.
Ni nani wa kudumbukiza milion 150 , urudishe fedha hizi kwà miaka 10 na miezi 7? Biashara ya nyumba za kupanga ni biashara kichaa
 
150,000,000/14,000,000 = 10.7 years.
Ni nani wa kudumbukiza milion 150 , urudishe fedha hizi kwà miaka 10 na miezi 7? Biashara ya nyumba za kupanga ni biashara kichaa
Biashara hii ni uwekezaji wa muda mrefu... Na ni utunzaji wa fedha wenye marejesho mazuri... Sio biashara ya kutaka kukimbizana kutajirika nayo..

Niambie biashara hii kazi yako ni nini hasa kama sio kukusanya 1.8M kwa kila mpangaji kila baad ya miezi 6..

Na jee unajua kwamba at any time unaweza kuuza nyumba hizi kwa bei kubwa kuliko uliyo nunulia?..
 
Usiuze nyumba mpendwa ni bora biashara zife ili nyumba zibaki.
Kuna wengine ndiyo biashara yao kujenga na kuuza..... Bati chakavu wameziba matundu zinapigwa rangi, tofali Nchi 4, mbao za kenchi marijekti/ zilizotumika zikaungwa ungwa...lakini kwa ajili ya Marumaru na Cellingboard ya Jipusamu unaingia mkenge...... Angalia sana hivi vitu....
 
Biashara hii ni uwekezaji wa muda mrefu... Na ni utunzaji wa fedha wenye marejesho mazuri... Sio biashara ya kutaka kukimbizana kutajirika nayo..

Niambie biashara hii kazi yako ni nini hasa kama sio kukusanya 1.8M kwa kila mpangaji kila baad ya miezi 6..

Na jee unajua kwamba at any time unaweza kuuza nyumba hizi kwa bei kubwa kuliko uliyo nunulia?..
Unawekeza kwà kuweka nyumba nne kwenye plot moja yenye hati moja? It's very risks
 
Back
Top Bottom