House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
Unawekeza kwà kuweka nyumba nne kwenye plot moja yenye hati moja? It's very risks
Hoja yako ni nini hasa...maana sikuelew...
Unataka mpaka kupangiana namna ya kuwekeza na kujenga...

Mwanzo umesema hailipi...nmekupa facts..sas unahamia kweny risky ya kujenga kweny eneo moja..

Huon kama ni rahisi kumanage biashara iliyopo eneo mojaa kulik kuwa maeneo tofauti tofauti...
 
Unakuta mtu unabishana na nweny eneo.. Kisa umeona picha tuuu...
Ina maana chochote uambiwacho we sawa tu, tunahitaji kujua ukubwa wa eneo, pia uhakisi hali halisi, inapelekea kuaminika kwa anachosema, hamna mwenye akili timamu akakubali kununua vijinyumba vitatu katika eneo la sqm 900, kwa tsh150milioni , vijinyumba vya kuishi.
Toa data sahihi, uweze kuuza, hauna tafuta kwanza ndio utangaze!
 
Usiuze biashara ya uhakika kukomboa biashara isiyo na uhakika. Unayoikomboa ingekuwa na uhakika isingehitaji ukombozi.
Huyu jamaa inaonesha ana mgogoro wa hizo nyumba aidha na ndug! Ngomaimekuwa ngumu jamaa wanakuja kuzitwaa nyumba akizembea so anazitia gengeni mapema tu!
 
Ndugu yangu estate ebu usiwajibu Hawa wanunuaji wa kweli tutakuja PM.. TUNAIJUA KAZI YAKO...KAA KWA KUTULIA KULA NYAMA NYAMAZA
 
Back
Top Bottom