Kiwanja tu huko ni ghaliWhen the deal is too good think twice
kujenga inataka moyo, kama pesa unamvua mtu tu mjengo, ukiingia unafanya renovation tu😂😂 Nimepanga sana ngoja nifanye mchakato. Mi mambo ya kuanza kujenga kugombana ma mafundi siwezi.
Hapo shwari. Sasa ngoja nianze Mipango ya kuzipata Milioni 32.kujenga inataka moyo, kama pesa unamvua mtu tu mjengo, ukiingia unafanya renovation tu
Nyumba ipo jarubani hiyo na parking hainaHapo shwari. Sasa ngoja nianze Mipango ya kuzipata Milioni 32.
Jarubani ni nini?Nyumba ipo jarubani hiyo na parking haina
Yaani km ipo kikwawila kule.Jarubani ni nini?
sijuiJarubani ni nini?
No parkingNyumba nzuri bei rahisi hivyo why
Asante.sijui
Unazidi kunipeleka chocho😀😀Yaani km ipo kikwawila kule.
Unazidi kunipeleka chocho😀😀