House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
Nyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 160 TU...Wahi sasa
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu
BEI NI MILIONI 190 MILIONI 160 TU......Wahi sasa
Mawasiliano 0677 818283

MILIONI 160 TU .................IMEPUNGUA BEI

1.jpg
2.jpg
3.jpg
4.jpg
5.jpg
6.jpg
7.jpg
8.jpg




 
Nyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 160 TU...Wahi sasa
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu
BEI NI MILIONI 190 MILIONI 160 TU......Wahi sasa
Mawasiliano 0677 818283

MILIONI 160 TU .................IMEPUNGUA BEI

View attachment 1797349View attachment 1797350View attachment 1797351View attachment 1797352View attachment 1797353View attachment 1797354View attachment 1797355View attachment 1797356View attachment 1797358


View attachment 1797360

Kwanini inauzwa?
 
Ukiona mtu anakwepa kujibu swali halisi basi kuna shida

Nilisikia jamaa anasema alinunua nyumba usiku hakulala
Kuna utaratibu wa kazi na details za kuweka mtandaoni..

Hivi mtu akisema mwenye nyumba anaitwa nani?....
Kweli unaadhani utapaswa kuweka details hapa?
Mkuu fikiria mara 2 jambo unalopinga..

Fahamu details za nyumba taarifa binafsi utazipata pindi utakpofanya mawasiliano

Mbona wapo wanaopiga simu na kupata details zote
 
Wabongo wakikosa hela ndiyo shida hiyo. Uchawi unakuwa mwingi sana.
Mtu anakuambia anauza nyumba. Kwa anahitaji mtafute document zote zipo. Mtu anauliza kwanini anauza? Ukishajua jua shida yake utamsaidia?
Ukienda dukani kununua hata viatu utaanza kumuuliza kwanini anauza viatu? Sema hauna pesa za kununua hiyo nyumba
UKIONA UMEANZA KUPATA PESA NA MICHONGO INATIKI. UNATAKIWA KUHAMA USWAHILINI HARAKA SANA. MAANA WATU KM HAWA HUWA WENGI SANA. UTASHANGAA UNAANZA KUCHUKIWA BILA SABABU.
Ukiona mtu anakwepa kujibu swali halisi basi kuna shida

Nilisikia jamaa anasema alinunua nyumba usiku hakulala
 
Wabongo wakikosa hela ndiyo shida hiyo. Uchawi unakuwa mwingi sana.
Mtu anakuambia anauza nyumba. Kwa anahitaji mtafute document zote zipo. Mtu anauliza kwanini anauza? Ukishajua jua shida yake utamsaidia?
Ukienda dukani kununua hata viatu utaanza kumuuliza kwanini anauza viatu? Sema hauna pesa za kununua hiyo nyumba
UKIONA UMEANZA KUPATA PESA NA MICHONGO INATIKI. UNATAKIWA KUHAMA USWAHILI. MAANA WATU KM HAWA HUWA WENGI SANA. UTASHANGAA UNAANZA KUCHUKIWA BILA SABABU.
ndo hivyo...tunaishi nao
 
Wabongo wakikosa hela ndiyo shida hiyo. Uchawi unakuwa mwingi sana.
Mtu anakuambia anauza nyumba. Kwa anahitaji mtafute document zote zipo. Mtu anauliza kwanini anauza? Ukishajua jua shida yake utamsaidia?
Ukienda dukani kununua hata viatu utaanza kumuuliza kwanini anauza viatu? Sema hauna pesa za kununua hiyo nyumba
UKIONA UMEANZA KUPATA PESA NA MICHONGO INATIKI. UNATAKIWA KUHAMA USWAHILI. MAANA WATU KM HAWA HUWA WENGI SANA. UTASHANGAA UNAANZA KUCHUKIWA BILA SABABU.
Basi yaishe Mkuu

Biashara iendelee
 
kuna utaratibu wa kazi na details za kuweka mtandaoni..

hiv mtu akisema mwenye nyumba anaitwa nani?....
kweli unaadhani utapaswa kuweka details hapa?
Mkuu fikiria mara 2 jambo unalopinga..

fahamu details za nyumba taarifa binafsi utazipata pindi utakpofanya mawasiliano

mbona wapo wanaopiga simu na kupata details zote

Sawa biashara iendelee
 
Back
Top Bottom