House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
mkuu hii ni mali halali na ina doc zote za umiliki kwa anayeuza..
so ni maamuzi yake..
kuna shida, kuna kuhama,kuna kukuza biashara.. sababu ni nyingi...
HATI HALALI IPO
Huna Haja hata ya kuelezea hilo swali la kipuuzi, kila mtu na maamuzi yake m

Akisema anataka auze amuonge demu wake kuna ubaya?wenye maswali kama hayo wengi sio wanunuzi
 
Wabongo wakikosa hela ndiyo shida hiyo. Uchawi unakuwa mwingi sana.
Mtu anakuambia anauza nyumba. Kwa anahitaji mtafute document zote zipo. Mtu anauliza kwanini anauza? Ukishajua jua shida yake utamsaidia?
Ukienda dukani kununua hata viatu utaanza kumuuliza kwanini anauza viatu? Sema hauna pesa za kununua hiyo nyumba
UKIONA UMEANZA KUPATA PESA NA MICHONGO INATIKI. UNATAKIWA KUHAMA USWAHILINI HARAKA SANA. MAANA WATU KM HAWA HUWA WENGI SANA. UTASHANGAA UNAANZA KUCHUKIWA BILA SABABU.
Basi yaishe Mkuu

Biashara iendelee
😂😂😂
 
Pita kila sehemu watu wanapouza bidhaa zao uwaulize swali kama hili uone kama utabaki na meno yote
Ila siamini kwamba ni swali la kijinga.. labda muktadha wa kuuliza ndo haupo sawa.. ila bado linabaki kuwa swali la msingi..

Je kama nyumba ina mgogoro?
Je kama hakukaliki?
 
Mimi ninachofahamu, vitu vinavyouzwa kwa haraka haraka as if Dunia ndio inaisha kesho huwa kuna namna tu, lazima kuna namna, maana kama mwenye nyumba anashida ya pesa, ni kwanini asiende benki akakope hata millioni 200, halafu asilipe , then bank waichukue, basi, mchezo umeisha.
What if kama nyumba ishachukuliwa na bank imerud tena kuuzwa utashaurije
 
Ila kuna baadhi ya watu wana roho mbaya mpaka mtu unawaza hivi katika maisha ya kawaida wanaishije!!!

Mtu kaleta baishara yake auze apate ridhiki aweke cha juu asiweke havihusiani sababu ndiyo kazi yake!!

ila mtu unakosoa unadhihaki, Mungu atusaidie kwa kwei tuwe na mioyo misafi
 
Hapo ndo umekosea kupunguza bei, sisi wasukuma tunataka bei ibaki palepale au iende juu.....huwa tuna tambo zetu za kununua vitu expensive ili tuonekane hatuna pesa ya mawazo hasa tukishauza pamba.
 
Back
Top Bottom