Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Huna Haja hata ya kuelezea hilo swali la kipuuzi, kila mtu na maamuzi yake mmkuu hii ni mali halali na ina doc zote za umiliki kwa anayeuza..
so ni maamuzi yake..
kuna shida, kuna kuhama,kuna kukuza biashara.. sababu ni nyingi...
HATI HALALI IPO
Akisema anataka auze amuonge demu wake kuna ubaya?wenye maswali kama hayo wengi sio wanunuzi