House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
Mimi ninachofahamu, vitu vinavyouzwa kwa haraka haraka as if Dunia ndio inaisha kesho huwa kuna namna tu, lazima kuna namna, maana kama mwenye nyumba anashida ya pesa, ni kwanini asiende benki akakope hata millioni 200, halafu asilipe , then bank waichukue, basi, mchezo umeisha.
Kuwa na nyumba au Asset yoyote ile sio kigezo pekee cha wewe kupata mkopo benki.Ingekuwa hivyo kila mwenye nyumba angekuwa na mkopo benki
 
kuna utaratibu wa kazi na details za kuweka mtandaoni..

hiv mtu akisema mwenye nyumba anaitwa nani?....
kweli unaadhani utapaswa kuweka details hapa?
Mkuu fikiria mara 2 jambo unalopinga..

fahamu details za nyumba taarifa binafsi utazipata pindi utakpofanya mawasiliano

mbona wapo wanaopiga simu na kupata details zote

Na akitaka kujua akapeleza kwa majiran kwa akil yake anafikir mwenye nyumba atamwambia tatizo [emoji28][emoji28]
 
Kama ni shida, kwanini asiende kukopa 200 million bank alafu asilipe, then bank wachukue? Problem solved
Hiyo nyumba umeona ni ya biashara? na kama hana biashara yoyote ile unadhani benki atawashawishi vp mpaka wampe hiyo hela.
 
Ila siamini kwamba ni swali la kijinga.. labda muktadha wa kuuliza ndo haupo sawa.. ila bado linabaki kuwa swali la msingi..

Je kama nyumba ina mgogoro?
Je kama hakukaliki?

Sababu kuu ya bidhaa yoyote ile kuuzwa ni kupatikana pesa tu. Hizo zingine ni mbwembwe na fikra za kijiweni tu. Hayana nafasi kwa muuzaji
 
Nyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 160 TU...Wahi sasa
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu
BEI NI MILIONI 190 MILIONI 160 TU......Wahi sasa
Mawasiliano 0677 818283


MILIONI 160 TU .................IMEPUNGUA BEI

View attachment 1797349View attachment 1797350View attachment 1797351View attachment 1797352View attachment 1797353View attachment 1797354View attachment 1797355View attachment 1797356View attachment 1797358


View attachment 1797360
Kiwanja/eneo lina ukubwa gani?
 
Hiyo nyumba umeona ni ya biashara? na kama hana biashara yoyote ile unadhani benki atawashawishi vp mpaka wampe hiyo hela.
Atawashawishi kwa asset aliyonayo, kwamba anaweza kapangosha au chochote kile, na atawalipa kwa awamu kadhaa
 
Sawa, ila asset ni kigezo cha msingi
Asset sio kigezo cha msingi kupata mkopo kwanza jua hilo.Bank huangalia biashara yako kama ndio kigezo kikuu kupata mkopo wa Bank kwani unapo pewa mkopo na Bank wao wanatarajia wewe kufanya marejesho ya mkopo na wao kama Bank kuendelea kupata faida.

Kwa akili yako uliyoitumia hapa kufikiri kuwa na Asset kama Nyumbs ndio kigezo kikuu kupata mkopo brother sio sawa ujawa shuhudia au kusikia Bank zinapata khasara kwa sababu, mfano Nyumba nyingi zimekosa soka nakuuzwa bei ya hasara au kutopata kabisa mteja wa kununu.
 
Kama ni shida, kwanini asiende kukopa 200 million bank alafu asilipe, then bank wachukue? Problem solved
Unafikiri bank ni dukani kwa mangi uneenda tu na documents zako unataka mkopo

Kaa kimya hujui hata mkopo ni nini
 
Asset sio kigezo cha msingi kupata mkopo kwanza jua hilo.Bank huangalia biashara yako kama ndio kigezo kikuu kupata mkopo wa Bank kwani unapo pewa mkopo na Bank wao wanatarajia wewe kufanya marejesho ya mkopo na wao kama Bank kuendelea kupata faida.

Kwa akili yako uliyoitumia hapa kufikiri kuwa na Asset kama Nyumbs ndio kigezo kikuu kupata mkopo brother sio sawa ujawa shuhudia au kusikia Bank zinapata khasara kwa sababu, mfano Nyumba nyingi zimekosa soka nakuuzwa bei ya hasara au kutopata kabisa mteja wa kununu.
Biashara sio asset?, nyumba ukiipangisha sio biashara?
 
Back
Top Bottom