House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
Mimi ninachofahamu, vitu vinavyouzwa kwa haraka haraka as if Dunia ndio inaisha kesho huwa kuna namna tu, lazima kuna namna, maana kama mwenye nyumba anashida ya pesa, ni kwanini asiende benki akakope hata millioni 200, halafu asilipe , then bank waichukue, basi, mchezo umeisha.
 
Mimi ninachofahamu, vitu vinavyouzwa kwa haraka haraka as if Dunia ndio inaisha kesho huwa kuna namna tu, lazima kuna namna, maana kama mwenye nyumba anashida ya pesa, ni kwanini asiende benki akakope hata millioni 200, halafu asilipe , then bank waichukue, basi, mchezo umeisha.
una maliza mchezo kirahisi rahisi ..unaijua milioni 200 wewe?
Unajua mtu ana nyumba ngapi?
Una kisia mambo kwa namna ambayo hata taarifa zake hauna
 
huo ni mtazamo wako...
unajua ana nyumba ngapi?
Hata kama anazo mia, si anashida? Au hana shida? Kama hana shida, kwanini anauza haraka haraka asi if kesho dunia inafika mwisho? Au ni wewe tu ndio unaleta msisimko wa kidalali kwamba inauzwa bei ya kutupa kumbe haman kitu, bei halisi ni 60 million? 🤷🏽‍♂️
 
una maliza mchezo kirahisi rahisi ..unaijua milioni 200 wewe?
Unajua mtu ana nyumba ngapi?
Una kisia mambo kwa namna ambayo hata taarifa zake hauna

200mil mbona mi naingiza kwa miezi michache sana, nisiijue kwanini? 😂😂...;Hata kama anazo mia, si anashida? Au hana shida? Kama hana shida, kwanini anauza haraka haraka asi if kesho dunia inafika mwisho? Au ni wewe tu ndio unaleta msisimko wa kidalali kwamba inauzwa bei ya kutupa kumbe haman kitu, bei halisi ni 60 million? 🤷🏽‍♂️
 
Hata kama anazo mia, si anashida? Au hana shida? Kama hana shida, kwanini anauza haraka haraka asi if kesho dunia inafika mwisho? Au ni wewe tu ndio unaleta msisimko wa kidalali kwamba inauzwa bei ya kutupa kumbe haman kitu, bei halisi ni 60 million? 🤷🏽‍♂️
usiipangie watu mkuu.... kimfaacho mtu chake...

mwandiko wako tu hauoneshi mtu ambaye amewahi shika hata milioni 10..
umeng'ang'ania shida shida... wapi nimesema nyumba inauzwa kwa ajili ya shidaaa??
 
usiipangie watu mkuu.... kimfaacho mtu chake...

mwandiko wako tu hauoneshi mtu ambaye amewahi shika hata milioni 10..
umeng'ang'ania shida shida... wapi nimesema nyumba inauzwa kwa ajili ya shidaaa??
Madalali na nyinyi mnapiga spana wateja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtakula wapi sasa
 
usiipangie watu mkuu.... kimfaacho mtu chake...

mwandiko wako tu hauoneshi mtu ambaye amewahi shika hata milioni 10..
umeng'ang'ania shida shida... wapi nimesema nyumba inauzwa kwa ajili ya shidaaa??
We si umesema huwezi taja shida za mtu? Anyway kama hana shida, basi punguza presha na papara, hayo ya kupanikisha watu kwamba wahi sijui bei ya kutupa acha, hakuna mtu anauza kitu bei ya kutupa kama hana shida, au anatupenda sana?
 
Madalali na nyinyi mnapiga spana wateja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtakula wapi sasa
hamna mteja hapaaaaa..... 😀😀😀😀
nyuma ya keypads za kucomment kuna watu wa kila aina..tunaenda nao hivyo hivyo..

Mkuu watej wanakuja private na simu wanapiga.. hapa tuu....masaa 2 nshapata appointments 3.. hap ajf..

Hawa wengine wasogeza uzii..ila nawashukuru pia..wanaweka topic on top....
 
Mimi ninachofahamu, vitu vinavyouzwa kwa haraka haraka as if Dunia ndio inaisha kesho huwa kuna namna tu, lazima kuna namna, maana kama mwenye nyumba anashida ya pesa, ni kwanini asiende benki akakope hata millioni 200, halafu asilipe , then bank waichukue, basi, mchezo umeisha.
Kweli mkuu, hiyo ndo njia poa kabisa!
 
usiipangie watu mkuu.... kimfaacho mtu chake...

mwandiko wako tu hauoneshi mtu ambaye amewahi shika hata milioni 10..
umeng'ang'ania shida shida... wapi nimesema nyumba inauzwa kwa ajili ya shidaaa??
Mkuu wewe ni dalali uchwara!
Kama wewe ni Estate Agent mwenye mshiko nunua hiyo nyumba , chukua documents halafu uza bei yako.
 
Mkuu wewe ni dalali uchwara!
Kama wewe ni Estate Agent mwenye mshiko nunua hiyo nyumba , chukua documents halafu uza bei yako.
yaani wew ni ni bogus namba 1.... dalali kazi yake ni kufikisha bidhaa kwa wateja..

na sio kununua na kuuza bei ya juu..huyo sio dalali ni mfanyabiashara...

mkuu una hata cheti cha std 7 kweliiiii
 
maneno tu ya biashara..... SCARCITY.... hii ipoo kwenye marketing.. usitishike nayo

Scarcity marketing is marketing that capitalises on a customer's fear of missing out on something. It's based on the psychological principle that people want what is difficult to acquire
Unasahau kwamba JF ni home of great thinkers? Nililiona hilo toka mwanzo kwenye comment yangu ya kwanza, ila nilitaka nikubananishe kwenye kona hadi ukiri hilo wewe mwenyewe kwa kinywa chako, Kwahiyo umeumbuka au sio? Sawa 🤝
 
una maliza mchezo kirahisi rahisi ..unaijua milioni 200 wewe?
Unajua mtu ana nyumba ngapi?
Una kisia mambo kwa namna ambayo hata taarifa zake hauna
Usiwe unafanya hizi discussion.

Weka details muhimu.

Picha.

Endelea kuhuisha uzi wako kwa picha mara kwa mara.

Kuna ishu hutakiwi kujibu. Achana nazo.

Hawa wanakufanyia hivi kwakua wewe ni member mpya, member wanaowaogopa hua wanaishia kusifia tu.

Achana nao.
 
yaani wew ni ni bogus namba 1.... dalali kazi yake ni kufikisha bidhaa kwa wateja..

na sio kununua na kuuza bei ya juu..huyo sio dalali ni mfanyabiashara...

mkuu una hata cheti cha std 7 kweliiiii
Tunawajua ninyi , kelele nyingi , mfukoni hata hata hela ya lunch Huna!
Hata shule kwako naona ni ya kusasua, maana hata maana halisi ya Estate Agent huijui.
Jiite Dalali Kauzibe tutakuelewa tu!
 
Mimi ninachofahamu, vitu vinavyouzwa kwa haraka haraka as if Dunia ndio inaisha kesho huwa kuna namna tu, lazima kuna namna, maana kama mwenye nyumba anashida ya pesa, ni kwanini asiende benki akakope hata millioni 200, halafu asilipe , then bank waichukue, basi, mchezo umeisha.
Mkuu Wakati mwingine kukaa kimya huwa ni busara,maana kuongea ongea kunafanya watu wakujue kuwa wewe ni mtu wa uelewa wa kiwango gani.

Benki kwa mfano ukikopa let's say 20M kwa dhamana ya nyumba,wakija kuuza nyumbani HARAFU isifike thamani halisi watakudai tu kiasi kitachosalia.

Unaposema akope M 200 kizembe namna hiyo unadhani benk inakopesha makande mkuu?
 
Benki kwa mfano ukikopa let's say 20M kwa dhamana ya nyumba,wakija kuuza nyumbani HARAFU isifike thamani halisi watakudai tu kiasi kitachosalia.

Unaposema akope M 200 kizembe namna hiyo unadhani benk inakopesha makande mkuu?
Kama kiwango changu cha uelewa kiko chini, si bora niseme ili watu wajue then wakinipa maarifa uelewa wangu utapanda kuliko kukaa kimya, au?
kilichosalia si unawalipa au? Na shida zako si unakua umetatua au? Au hiyo milioni 200 unaenda kuitumbukiza chooni?

Na kwa kuangalia hiyo nyumba, haifiki thamani ya 200mil kiasi benki isikukopeshe?
 
Back
Top Bottom