Huna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuulizia c
Kitimoto rosti jela...
Jamiiforum imevamiwa... nikajua ni mtaalamu wa majengo... Uwasaidie wanunuzi kujua nyumba za kichina na za mjerumani..

Aisee kumbe ni zero brain..
Nenda kalale kesho mnafungua shule... Usisahau pay slip ya ada uliyolipiwaa
 
Kupangisha kwa 600,000 mwaka utapata 7,200,000 na kununua kwa 150 m ni Almost 10 m kwa mwaka which is gross loss
 
Usisahau na mbagala
 
Huna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuulizia
Kitimoto rosti jela.
NB: 400m cash usawa huu jela hii hapa.
Acha dharau mkuu humu sio wote saizi yetu na hata connection pia za hao wa million 400 tunaweza wapa wengine wasingejua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…