Kiwanja Bei ya Asubuhi!

Kipo Boko chama ukubwa Ni sqm 400 Bei 4milion na kingine sqm 500 Bei 4.5milion vimepimwa,maji na umeme vipo na pameshajengeka

Contact 0715053339
Picha?
 
Unajikuta nani?!!!
 
Unajikuta nani?!!!
Mbona limekuuma hili kwani we unauza nyumba goba kwa mil 250??? Mi nawaambia raia dalali anaambiwa hii nyumba uza milioni kadhaa ye anaongezea mil 30 zake. Sasa kama wewe haujafanya hivyo si utulie
 
Mbona limekuuma hili kwani we unauza nyumba goba kwa mil 250??? Mi nawaambia raia dalali anaambiwa hii nyumba uza milioni kadhaa ye anaongezea mil 30 zake. Sasa kama wewe haujafanya hivyo si utulie
Wale wale!
Siku njema
 
Kiwanja GOBA center (Mbezi GOBA) umbali kilipo Ni dk 7/10 kutokea site Hadi barabara kuu ya Goba Bei ni 6.8M ukubwa wa kiwanja Ni miguu 20x18
Haya mje goba mjenge msiseme sikuwaambia.

0715053339/0719236829
 
Kiwanja GOBA center (Mbezi GOBA) umbali kilipo Ni dk 7/10 kutokea site Hadi barabara kuu ya goba Bei ni 6.8M ukubwa wa kiwanja Ni miguu 20x18
Haya mje goba mjenge msiseme sikuwaambia
0715053339/0719236829

Nb
Hii post umekuja haijakamilika nimeshindwa futa ya kwanza
 
Goba centre unauza kwa miguu? Maana navyojua hko kote kumepimwa.
 
Kiwanja GOBA center (Mbezi GOBA) umbali kilipo Ni dk 7/10 kutokea site Hadi barabara kuu ya goba Bei ni 6.8M ukubwa wa kiwanja Ni miguu 20x18
Haya mje goba mjenge msiseme sikuwaambia
0715053339/0719236829
Kwa GOBA hii bei ni sawa na bure ningekuwa vizuri ningekichukua mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…