Tundaman Kuingia na Jeneza, Simba SC yaomba Radhi

Halafu haya majitu hayana exposure kwahiyo unakuta ndugu wote wako mwambao wa pwani akienda Mtwara, Pwani Tanga na Zanzibar anajua Tanzania nzima ni wafuga majini πŸ˜‚
 
Mndali ndanyelakakomu acha ubishi...
Chukwu emeka acha ubishi..
nandengele acha ubishi...
Mmakonde wa Canada acha ubishi...
Luc Eymael acha ubishi...
redio acha ubishi...
Dabil acha ubishi jombaa...

Diamond Platnumz Muislamu,
Zuchu Muislamu.
Harmonize Muislamu.
Raymond Shaban Muislamu.
Mbosso Muislamu.
Lavalava Muislamu.
Aslay Muislamu.
Marioo Muislamu.
Alikiba Muislamu.

Salim Kasim (S2Kizzy) Muislamu.
Laizer Classic (WCB) Muislamu.
Mandonga Mtu Kazi Muislamu.
Shabani Kaoneka Muislamu.

Kikwete Muislamu.
Samia Muislamu.
Majaliwa Kassim Muislamu.
Hussein Mwinyi Muislamu.
 
Hivi wewe kijana mdogo unaelewa ulichokiandika au umekurupuka tu.? Nimefanya kazi NBS (National Bureau of Statistics) miaka 10 kabla sijaacha kazi na kuhamia Canada hicho ulichoandika hakipo na hakitakuwepo hata iwe miaka 100 ijayo. No proof, no right to say!.
 
Umeshiba alkasusu umekuja kujamba humu uchafue hali ya hewa
 
Sikutegemea jamii forum kunawatu wanatathmini mambo katika kiwangao hiki. Unaweza Kuta alichoandika ana maanisha kabisa.
 
Jf founder pia muislam anazidi kuwaunganisha waislam
 
Ushabiki usikufanye uonekane hamnazo. Wangefanya Yanga ungeona wana kosa, wamefanya Simba haina connection na Ukristo.
Kama manara tu ambavyo watu wa yanga wanaona hana kosa japo yeye mwenyewe ameshaomba radhi mara mbili na tunasubir sio muda ataenda mbele ya waandishi na ataomba tena japo yanga watanyamaza tu bila kuchangia
 
Data umetoa kwa bibi yako sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…