Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

Well said lakin kwa taarifa hazipo rasmi nikile kitendo chakuvusha taarifa za siri ngambo nakuipa sirikali wakati mgumu imekuwa dhambi inachafuwa kazi nzuri zake.
Well siri ni nzito kuliko maandiko umeandika na uwenda yeye mwenyewe anajuwa sio kujuwa tu ila anatambuwa kama angekuwa nchi kama china wangekuwa tayari wamemvika kamba na niukweli yupo tayari kuvaa kitanzi na yupo tayari kwa yote jambo linaleta mkanganyiko mkubwa ktk vichwa vya wenye usalama.
 
Sasa mtu kama huyu anakuja mjinga mmoja et ampoteze dunia, azina ya taifa ipotee, huyu muuaji ni very stupid
 
Well said lakin kwa taarifa hazipo rasmi nikile kitendo chakuvusha taarifa za siri ngambo nakuipa sirikali wakati mgumu imekuwa dhambi inachafuwa kazi nzuri zake.
Well siri ni nzito kuliko maandiko umeandika na uwenda yeye mwenyewe anajuwa sio kujuwa tu ila anatambuwa kama angekuwa nchi kama china wangekuwa tayari wamemvika kamba na niukweli yupo tayari kuvaa kitanzi na yupo tayari kwa yote jambo linaleta mkanganyiko mkubwa ktk vichwa vya wenye usalama.
Kama umeenda shule soma vizuri profile ya huyu shujaa alianzaa kupigania maslahi ya nchi hii wakati CCM ikisaini mikataba mibovu. Kuwashauri kwamba tuwe na tahadhari katika kuvunja mikataba itakayo ipa hasara ni kosa.
 
Nonsense kabisa...

Kwa hiyo kwa maelezo yako Lissu alikuwa mtukutu, mjuaji na asiyetii sheria? Na kama ndo hivyo huyo unamfananishaje na Mandela? Na unafikiriaje awe Rais? Kwa hiyo kwa mujibu wako Rais anatakiwa awe mtukutu na mvunjifu wa sheria na taratibu. Kwa sababu kwenye maelezo yako yooote unaelezea Lissu alivyokuwa mvunjifu wa sheria na mtukutu. Sijaona zuri hata moja, mwingi ni uongo na Lissu's "delinquency" alipokuwa mtoto na "criminality" alipokuwa mtu mzima!! Naona defiance, defiance tupu.
Wewe ushawahi kuisoma historia ya Mandela? Alikuwa msafi 100%? Nakushauri ukaisome.
 
Acheni kumfananisha Mandela na watu wa ajabu
Tundu Lissu alimtukana baba wa Taifa kuwa alizoea kunypnga
NI KWELI DOMO KAYA LISU MSALITI WA NCHI YETU NDIYO SAWA NA MANDELA?
naona ushakuwa chizi baada ya kupigwa jana pambaf
 
Kama umeenda shule soma vizuri profile ya huyu shujaa alianzaa kupigania maslahi ya nchi hii wakati CCM ikisaini mikataba mibovu. Kuwashauri kwamba tuwe na tahadhari katika kuvunja mikataba itakayo ipa hasara ni kosa.
ehh hebu acha kabisa kutoa heshima ya neno SHUJAA.
mchumia tumbo lissu jimbo limemshinda ndiyo nchi?
Nyota njema huonekana asubuhi, tundu lisu ni majanga tu katika maisha yake yote
 
ehh hebu acha kabisa kutoa heshima ya neno SHUJAA.
mchumia tumbo lissu jimbo limemshinda ndiyo nchi?
Nyota njema huonekana asubuhi, tundu lisu ni majanga tu katika maisha yake yote
Soma hiyo rekodi ya Tundu Lissu hakuna kiongozi ndani ya CCM Ana CV clean kiasi hicho.
 
Acheni kumfananisha Mandela na watu wa ajabu
Tundu Lissu alimtukana baba wa Taifa kuwa alizoea kunypnga
Hata wakati wa Mandela walikuwapo watu kama wewe walimuita majina kibao .walimuita Terrorist. Waziri mkuu wa Uingereza alimuita terrorist na watu ambao walikuwa hawakubaliani naye huyo bibi Thatcher aliwafunga.
Mfano mzuri ni kiongozi wa sasa wa Labour Jeremy Corbin wakati huo alikuwa kijana yeye n.a. wenzake waliandamana mpaka ubalozi wa South Africa uliopo London kushinikiza wawekewe vikwazo lakini serikali ya Thatcher ilimfunga.
Kwa hiyo hata wewe hatukushangai ukiponda kwa maslai yako hautakuwa wa kwanza wala wa mwisho.
Lakini kibinadamu hata kama unanufaika bora ukae kimya kuliko kuwaumiza 95% ya watanzania ambao wanateseka kwaajili ya utawala dhalimu na wa ki dikteta wa awamu hii.
 
Nonsense kabisa...

Kwa hiyo kwa maelezo yako Lissu alikuwa mtukutu, mjuaji na asiyetii sheria? Na kama ndo hivyo huyo unamfananishaje na Mandela? Na unafikiriaje awe Rais? Kwa hiyo kwa mujibu wako Rais anatakiwa awe mtukutu na mvunjifu wa sheria na taratibu. Kwa sababu kwenye maelezo yako yooote unaelezea Lissu alivyokuwa mvunjifu wa sheria na mtukutu. Sijaona zuri hata moja, mwingi ni uongo na Lissu's "delinquency" alipokuwa mtoto na "criminality" alipokuwa mtu mzima!! Naona defiance, defiance tupu.
Unahitaji kufanyiwa checkup ya hali ya juu .
 
Tofauti kati ya wafuasi wa Mandela na wafuasi wa Lissu ni kuwa the latter are cowards. Wafuasi wa Lissu ni waoga, wanamtegemea yeye tu apambane wao washangilie, akipigwa wananywea.
Wafuasi wa Mandela waliendelea na mapambano hata baada ya Mandela kufungwa kifungo cha maisha.
Ushabiki na ufuasi wa maneno bila matendo ni soga tu, muflisi.
 
Back
Top Bottom