Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu is a never miss presidentBado hato kua na mvuto hiyo itakua danganya danganya ili apewe kula Mimi lisu nampigia kura
Awamu ya tano imekuwa ni utawala wa hovyo tangu tupate uhuru.Kwa kauli hiyo tu wastahili kura ya ndio, huyu aliezika ndoto za vijana utadhani kawaumba yeye anyimwe kura!
Talks Issues not petty issues za kuchoma mahindi mara kunywa kahawa.Akili kubwa hiyo!
Tutampumzisha mwaka huu.Huyu John aliyejaa kiburi na dharau arudi kwao Chato
Zungumzia ulaya ya kwako wewe.Ulaya gani huko watu wanalipwa kwa wiki? Huyu jamaa kukaa ulaya kwa miaka mitatu tu kama mgonjwa ndio anajiona anaijua Ulaya vizuri, ha ha ha.
Hatukuja kupigana mabunduki, kutekana, kupotezana ma kutesanaSafi sana. Duniani tulikuja kwaajili ya kufurahia maisha na si kuishi kitumwa
Yesu feki ataambulia kura za wizi ambazo hazitafika hata milioni tatu.Mambo hayo! Na huo ni mwanzo tu. Unadhani yesu fake ataambulia hata kura moja ya Wafanyakazi!? THUBUTU!
Uhuru na Kazi
Nchi hii bila ccm kufa. Bado sana.Mabadiliko ya kweli na maendeleo, tutayapata CCM ikishapigwa chini.
Kaa pembeni sasa. Hayakuhusu kaongelee kampeni za wasiojulikana huko.Hata wewe na huyo limbukeni mwenzio mnaweza kuzungumzia hiyo "Ulaya" yenu. Sina tatizo kabisa na hilo.
Umeona eh! Eti mtu anatoa kauli kwamba atahakikisha matajiri wanaishi kama mashetani!!! Ili nafsi yake ifurahi! Kuna watu jamani roho zao zimejaa kutu duh!
Awamu ya tano imekuwa ni utawala wa hovyo tangu tupate uhuru.
Roho mbaya wanayo watekaji, wabambikia kesi, wauaji. We vipi!mwisho wa ccm ni 2100, na kabla ata awau ya sita haijafika utakua ushazimia kwa roho mbaya
Tutakopa kama alivyokopa yesu wa jerusalem chatoKamanda mwambie atueleze vyanzo vya mapato vya kulipa mishahara dabo hahahaha
Kuwaongoza nyumbu ni jambo rahisi sana hahahahha
👏👏👏👏👏Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi cha CHADEMA, Tundu Lissu aahidi neema kwa watu watumishi wa umma ikiwemo madaktari, walimu na vyombo vya dola kwa kulipwa mara mbili ya mshahara wa sasa.
Katika mazungumzo yake na viongozi wake wa ngazi za juu ameeleza kipaumbele chake kikubwa ni kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma kulingana na maisha ya sasa yalivyo.
Jengine alilotugusia ni kufuata mfumo wa nchi za Ulaya ambazo hulipa mishahara ya wafanyakazi kwa wiki badala ya kulipwa kwa mwezi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimwache Lissu nimpe kura yule mola aliyejaa matusi!!!!
Ahahahahaha
si mnasemaga hii nchi tajiri?Hela atazitoa wapi kila mwezi?
Easu said than done.