guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Ndiyo ushangae na wewe mkuusi mnasemaga hii nchi tajiri?
Vipi tena unashangaa watu kulipwa mishahara toshelezi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ushangae na wewe mkuusi mnasemaga hii nchi tajiri?
Vipi tena unashangaa watu kulipwa mishahara toshelezi?
Jengine alilotugusia ni kufuata mfumo wa nchi za Ulaya ambazo hulipa mishahara ya wafanyakazi kwa wiki badala ya kulipwa kwa mwezi.[emoji1752]wanaokopesha watumishi kwa riba bye byeMgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi cha CHADEMA, Tundu Lissu aahidi neema kwa watu watumishi wa umma ikiwemo madaktari, walimu na vyombo vya dola kwa kulipwa mara mbili ya mshahara wa sasa.
Katika mazungumzo yake na viongozi wake wa ngazi za juu ameeleza kipaumbele chake kikubwa ni kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma kulingana na maisha ya sasa yalivyo.
Jengine alilotugusia ni kufuata mfumo wa nchi za Ulaya ambazo hulipa mishahara ya wafanyakazi kwa wiki badala ya kulipwa kwa mwezi.
Duuu Tundu sasa azime mitandao kabla ya kudanganya umma . Ulaya gani anayosema watu wanalipwa Kwan week. Yes wapo watu wanalipwa weekly kama wenye kazi za kuunga unga kama agency workers watu wengi waajiriwa na serikali wanalipwa monthly . Tanzania hatuna kazi zinazoweza kufanya watu waanze kulipwa Kwan mfumo huo otherwise ajenge viwanda kwanza maana yake afuate nyayo za Magu ajenge viwanda vinginevyo hayo anayosema ni ndoto. Huyu Jamaa naona alijibanza kwa masela anaepiga shift akajua ulaya nzima ni wapiga shift? ☹️ .kidogo angesema watu walipwe per hour production inaongezeka ambayo nayo ni changamoto kwa utamaduni wa mwafrica . Otherwise nimkumbushe kama alikaribishwa na wasela wa shifts ulaya yote si watu wa shifts na inabidi Tundu aujenge uchumi wetu kwanza Ili ussuport copy and paste maana naona kila kitu anataka aishi kama bwana waleUlaya gani huko watu wanalipwa kwa wiki? Huyu jamaa kukaa ulaya kwa miaka mitatu tu kama mgonjwa ndio anajiona anaijua Ulaya vizuri, ha ha ha.
✌✌✌✌✌✌✌Ebu tuoene
1)590000
2)590000×2=1,180,000
3)1,180,000÷4=295,000 per week!
4)295,000!
Goddamn it Lissu kura yangu chukua
Roho mbaya wanayo watekaji, wabambikia kesi, wauaji. We vipi!
Ebu tuoene
1)590000
2)590000×2=1,180,000
3)1,180,000÷4=295,000 per week!
4)295,000!
Goddamn it Lissu kura yangu chukua
Mkuu,we hutaki kulipwa mara nne kwa mwezi?Elimu ufipa ni changamoto aisee
Mkuu kuna watu nchi hii serikali inawalipa pesa ndogo hivyo?? Laki tano na tisini tu??Ebu tuoene
1)590000
2)590000×2=1,180,000
3)1,180,000÷4=295,000 per week!
4)295,000!
Goddamn it Lissu kura yangu chukua
Kwanza atasemaje?? Ataleta ajira, ataongeza mishahara? Anainua uchumi?? Nani atamwamini tena?Magufuli hawezi kujibu hili... Na litamuweka chini..
Ahsante Lissu.
Unakataa harafu unakubali. Ukiwa ccm akili huwa zinaenda wapi?Duuu Tundu sasa azime mitandao kabla ya kudanganya umma . Ulaya gani anayosema watu wanalipwa Kwan week. Yes wapo watu wanalipwa weekly kama wenye kazi za kuunga unga kama agency workers watu wengi waajiriwa na serikali wanalipwa monthly . Tanzania hatuna kazi zinazoweza kufanya watu waanze kulipwa Kwan mfumo huo otherwise ajenge viwanda kwanza maana yake afuate nyayo za Magu ajenge viwanda vinginevyo hayo anayosema ni ndoto. Huyu Jamaa naona alijibanza kwa masela anaepiga shift akajua ulaya nzima ni wapiga shift? ☹ .kidogo angesema watu walipwe per hour production inaongezeka ambayo nayo ni changamoto kwa utamaduni wa mwafrica . Otherwise nimkumbushe kama alikaribishwa na wasela wa shifts ulaya yote si watu wa shifts na inabidi Tundu aujenge uchumi wetu kwanza Ili ussuport copy and paste maana naona kila kitu anataka aishi kama bwana wale
Unemaliza yote. Bajeti ya Magu na genge lake ni inafika bajeti ya mikoa mitano ya wananchi. Hapo tunazungumzia genge moja bado yapo mengi.Sasa ni wakati wa kuijenga Tanzania yenye furaha .
Kwanza abadili Mfumo wa Elimu.
Kila binadama mwenye akili timamu ana kipaji alichopewa na Mwenyezi Mungu.
Mfumo wa Elimu wa Kikoloni uliletwa kwa mahitaji ya Watawala na Matajiri kupata Watumwa au Watumishi wa Leo. Watawala ambao ni wakoloni weusi leo wanatumia Mfumo ule ule wa wakoloni kwa kutawala na kupata wasaidizi wa kutawala .
Kodi ya wananchi kwa % kubwa inatumika kwenye kuimarisha utawala na miundombinu ya kiutawala tu lakini sio kupambana na umaskini wa watu na kuibua vipaji vya watoto wa kiafrika ili kuleta Maendeleo ya kweli na ajiri inayotoka kwa watu wenyewe sio kuletewa ajira na wachina huku wao wakiwa manamba .
Mfumo wa Elimu ubadilike mana sio kila binadamu ameumbwa ili aajiriwe awe Mhasibu,au daktari,au Injinia au mwalimu au askari.
Lissu kama navyomjua hajawahi kukosa target kwenye mambo yake.Jengine alilotugusia ni kufuata mfumo wa nchi za Ulaya ambazo hulipa mishahara ya wafanyakazi kwa wiki badala ya kulipwa kwa mwezi.[emoji1752]wanaokopesha watumishi kwa riba bye bye
Mwaka huu sijui atasemaje na hata akisema je nani atamuamini?Najiandaa kusikia kiburi cha yule jamaa aliyesema hakuchaguliwa kuongeza mishahara