Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aahidi neema kwa Madaktari, Walimu na Vyombo vya Dola

hapa ndipo jamaa anazidi kuonekana chizi anaehitaji msaada wa haraka, we unadouble mishahara wa watu si watu watadumbukia kwenye umaskini ambao ndo unakua ule wa zimbabwe, wanasiasa wengine bana ni shida juu ya matatizo wacha amalize siasa zake uchwara arudi belgium
 
Umeona eh! Eti mtu anatoa kauli kwamba atahakikisha matajiri wanaishi kama mashetani!!! Ili nafsi yake ifurahi! Kuna watu jamani roho zao zimejaa kutu duh!

umesahau huyo huyo ndo alimsema vibaya baadae akamsafisha
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…