Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aanza kukumbana na wananchi wakitaka maendeleo ya vitu

Kawaambie hayo maneno miradi ilipo Kama Magufuli Yuko sahihi kuwapelekea hiyo miradi au kakosea simple usikie majibu Yao usiulize Jamii forums
 
Unaongea kama upo kwenye kibuyu, barabara ya nyerere kama alijenga sasa hawa watu wanaotaka barabara wanazitaka za nini?
Lisu akipata kura laki 4 atakuwa karoga lakini hata akiwa mchawi kuzidi kura laki nne Sio rahisi
 
Uzi nyingine MTU anapost huku roho ikiwa inamsuta.unaumia moyoni kisa ukweli
 
Out of context quotation!
 

Me Mpaka Sasa sielewi jk alifanikiwa vipi kufanya yote kwa wakati mmoja na mzee magu anashindwa?

Tena mzee jk alifanya hayo kukiwa na wafanyakazi hewa elf 40 na vyeti feki kibao
 

Hakuna watu wepesi kuwa brainwash kama wafuasi wa CCM. Wastaafu mpaka leo wanasotea mafao yako, eti sababu ya msingi serikali inanunue ndege ambazo mabinti wa CCM wamegeuza za kufanyia

Hakuna watu wepesi kuwa brainwash kama wafuasi wa CCM. Wastaafu mpake leo wanasotea mafao yao kwa kuwa serikali imeamua kununua ndege badala ya kuwalipa wastaafu stahiki zao.

Ndege zenyewe zimegeuka sehemu ya kufanyia photo shooting kwa mabinti wa CCM!
 
Hoja zako VIOJA kwamba suala ni mishahara ya watumishi ndiyo hoja! Nitatoa mifano michache kuhusu VIOJA vyako hivyo.

Zaidi ya 70% ya WaTz wanahitaji huduma bora za kijamii (afya, maji, shule) na miundombinu ya usafiri wa kuaminika majira yote waweze kuendelea na shughuli zao za maisha.

Unadai nyongeza ya mshahara au mnono lakini mahitaji yako kutoka vijijini km vyakula haviwezi kufikishwa kwa wakati kwa sababu ya barabara mbovu, ni busara hiyo?

Unapata nyongeza hiyo lakini kufika kazini kwa wakati ni shida, busara hiyo?

JITAMBUE, JIKUBALI, JIANDAE
 
Mbona hajawahi kusem uwanja wa ndege wa singida usijengwe mapka tanzania yote ipte huduma ya maji barabara na umeme na wawe na fulaha ndo huo uwanja ujengwe maana haina maana.
Singida ni mkoa
 
MATAGA hutawaona hapa
 

Mufindi ipi ambayo wewe peke yako tu uliwasikia watu wakiongea huo ukasuku wa CCM?

Labda kwenye kikao cha ndani cha mauaji CCM, kwingine kote Tundu Lissu ndiyo habari.
 
Mufindi ipi ambayo wewe peke yako tu uliwasikia watu wakiongea huo ukasuku wa CCM?

Labda kwenye kikao cha ndani cha mauaji CCM, kwingine kote Tundu Lissu ndiyo habari.
Hatashinda, ninyi ni wale wale ambao hamfiki hata milioni moja.
 
Ni ujinga mtupu hizi nadharia eti kuna maendeleo ya vitu na yale ya watu. Hizo infrastructures ndio nyenzo za watu kujiboreshea maisha yao. Ukilima utahitaji barabara ya kupeleka mavuno yako sokoni kabla hayajakuozea.
Wabongo tumekuwa watu wa ngonjera sana, mtu anaongea siku mzima na anachoongea ni kulalamika kuwa hana haki ya kuongea..Total confusion.
 
Nimesoma kidogo nikakuelewa naomba nikujibu nadhani wewe hujaelewa lisu hakatai barabara walakitu kingine chenye manufaa kwa watu yeye anataka maendeleo yaendane na kuboresha maisha yawatu majumbani mfano usiache kuwaongezea watu mshahara kwasababu unajenga barabara sasa hao amewashangaa hawana vitu wala maendeleo yao
 
Alwys smart....
 
Kuna vitu vya kipuuzi vinavyokula pesa na havina maana kwa wananchi na sio barabara,mfano kujenga mastendi ya mahilioni,masoko ya mahilioni,mandege,ma sgr,ma stiglaz,maviwanja ya ndege wanakotua na kuruka popo badala ya ndege ,ma stiglaz nk hivyo ni baadhi ya miradi hewa au tembo mweupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…