Acha upotoshaji wako wa kishetani, Lisu hajazungumzia Daraja la Kigamboni na wala hawezi kuliongelea kwani ni muhimu sana, Lisu kaongelea daraja la kutoka Aga kan kwenda Oyestarbay linalojengwa sasa chini ya utawala huu wa kidikteta, chato lazima Lisu aende na huko atawauliza umuhimu wa huo uwanja wa kutua Ndege za viongozi wa east Africa tu pasipo Abria wengine kuutumiaHivi Lissu ana mpango wa kwenda kuomba kura Chato na Kigamboni? Akiffika huko atawaambia kuwa uwanja haustabili kujengwa? Na Kigamboni atawaambia daraja lao ni la kupunga upepo?
Nimewasikia wananchi wa eneo moja huko Mufindi kama sikosei kwenye mkutano wa ndugu Tundu Lisu kuwa hawana barabara pamoja na maji na wamesema wanaomba akichaghuliwa awatengenezee hivyo vitu.
Nikajiuliza kwa nini hao watu hawahitaji maendeleo ya watu wao wametaka maendeleo ya vitu?
Majibu ya Tundu Lissu ni kwamba, hata yeye anashangaa kwa nini mpaka sasa hawana barabara na maji na kwamba mpaka huko alipotokea mpaka kufika pale jana yake ametembea kwenye njia ya vumbi mpaka alipofika kwenye mkutano akawa amechoka sana hadi kutaka kuahirisha mkutano.
Swali langu kwa Tundu Lissu.
Kama yeye na pesa aliyonayo na magari aliyotumia bado amepata maumivu kwa kupita barabara ya vumbi, je anakubali maendeleo ya vitu ni moja ya kurahisisha maendeleo ya watu?
Anaweza kufahamu kuwa kuna watu pia wanahitaji usafiri wa ndege kuwapeleka sehemu husika na pengine kunusuru maisha yao tofauti na wangetumia barabara wasingepona kutokana na umbali?
Je, unaweza kuwa na mapesa mengi na magari mazuri lakini ili ufike kwako ni lazima ukanyage tope kwa kusukuma gari yako na ukifika kwako huna hata umeme unatumia kibatari na gari yako inakuwa chafu muda wote na ndani mwako vumbi kibao kutokana na barabara ya vumbi ambayo magari yakipita vumbi yote inajaa ndani mwako.
Je, utafurahi na maisha hayo ya uchafu kila siku ila una pesa?
Je, Tundu Lissu akiingia madarakani atatekeleza maombi ya hao wananchi ya barabara na maji waliyoomba au atataka awajaze pesa ili wawe na furaha kwanza?
Unadhani hiyo pesa ya Chato na hilo daraja la baharini vingemaliza matatizo ya barabara Tanzania nzima?
Maendeleo ya vitu yaendayo kuboresha maisha ya watu yagusayo maisha ya watu. Kujenga Ikulu mpya Hali toshelevu ya awali ipo, kujenga Chato na Dodoma hivi haviwasaidii watu bali ni hitaji la mtawala na sio kipaumbele Cha wananchi na wala havigusi maisha ya watu sababu si hitaji la lazima.
Hivi Lissu ana mpango wa kwenda kuomba kura Chato na Kigamboni? Akiffika huko atawaambia kuwa uwanja haustabili kujengwa? Na Kigamboni atawaambia daraja lao ni la kupunga upepo?
Uwanja wa ndege chato ni wa kuvutia watalii wa mbuga ya Burigi
LISSU hana focus kwenye kampeni zake. Kila mtu anajua umuhimu wa daraja la baharini kuwa ni kupunguza foleni iliyopo ktk barabara ya Ali Hassani Mwinyi na Ocean Road. Anapopinga daraja hilo, watu wa OSTERBAY wote na maeneo ya jirani hawatampigia kura.
Kiboko ya Magufuli Ni wanaCCM wenyewe, sio chokoraa mdogomdogo nje ya CCM.Na wewe usilazimishe vitu unachopenda wewe tupende wote..unaipenda ccm haya ...tuache na sisi tunaomwelewa Lissu the Greatest..kiboko ya Magufuli...
HovyoAcha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!
Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?
Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?
Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.
Wanamlisha maneno ili wapate unafuu, lakin hizi sio nyakati za giza kila mtu anajua ukweliJamani hata nyerere alisema tunataka maendeleo ya vitu yanayogusa maisha ya watu, niwapi Lisu amepinga miradi ya maji na barabara ? Barabara nisehemu yamaisha yawatu wote Kila siku maji nisehemu yamaisha ya watu Kila siku,,
Lissu anawapa makavu live...
Ccm toka uhuru mpaka leo wananchi tunapewa ahadi za maji kweli?
Maendeleo ya vitu yaendayo kuboresha maisha ya watu yagusayo maisha ya watu. Kujenga Ikulu mpya Hali toshelevu ya awali ipo, kujenga Chato na Dodoma hivi haviwasaidii watu bali ni hitaji la mtawala na sio kipaumbele Cha wananchi na wala havigusi maisha ya watu sababu si hitaji la lazima.
We unafikiri ccm bila Dola kuna lolote hapo..??!Bora CCM inatoa ahadi za maji. CHADEMA haina ahadi ya kutoa. Inahamasisha nchi kufanya vurugu tu. Pamoja na madhaifu ya CCM lakini kuna unafuu kuliko CHADEMA. Wanayoyasema hawayafanyi ndani ya chama. Hawana rekodi ya utendaji iliyotukuka. Bado wanatakiwa wajisahihishe sana ili watupe imani. Sasa hivi CHADEMA ni kama SACCOS ya Wizi mtupu.
Eti bwana,kienyeji sana aisee....kwamba ....Nakunyima hiki,nitengeneze kile...!!?Acha upotoshaji! Watanzania tulio wengi tunataka maendeleo ya vitu yaende sambamba na maendeleo ya watu! Hakuna mfanyakazi atakayekubali kunyimwa haki zake za msingi mfano kupandishwa daraja kwa wakati, kisa eti unajenga barabara au kununua ndege!
Mbona wakati wa JK hizo barabara, madaraja, nk vyote hivyo vilijengwa kila kona ya nchi! Lakini bado ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu, haki za wafanyakazi na makundi mengine katika jamii ziliheshimiwa?
Iweje huyu mtu wenu aone barabara na ndege ni vitu vya muhimu sana kuliko haki za wengine? Mbona hatujawahi kumsikia akijipunguzia mshahara na posho zake?
Hata Rais angekua ni Lissu au Hashimu Rungwe, bado hizo barabara zingejengwa tu. Hilo ni moja ya jukumu la serikali yoyote ile duniani. Na kodi tunazolipa na mikopo ya ndani na nje ya nchi, hufanikisha zoezi hilo.
Geita yote hakuna Chuo Cha Ufundi Stadi,enzi.na.enzi..bila shaka kungekuwa na unafuu kuliko sasa hivi.
..wewe jiulize wananchi wangapi wanatumia huo uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato?
..binafsi angejenga barabara za lami chato au geita nisingemlaumu hata kidogo.
..angewekeza kwenye vyuo vya ufundi badala ya uwanja wa ndege ningeunga mkono uwekezaji huo.
NB:
..daraja la baharini la kupunga upepo Dsm wangeshawishi lijengwe na sekta binafsi. Na wanaotaka kupita huko wangelipia kama tunavyofanya kwenye daraja la kigamboni.
Sera za Nchi au GhetoWananchi wanadai tuuze ndege tano ili tujenge barabara ambazo wao ndo wanazitumia sana, na pia miradi isiyo na tija kama ile ya chato ipelekwe kunapostahili.
Ujui chochote kuhusu modern worldSio kosa lako. Ni kosa la wazazi wako ambao hawakukupeleka shule
We unafikiri ccm bila Dola kuna lolote hapo..??!
Chadema bila wasanii umeiona??.. Hujasikia Sera za Lissu?