Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Ilikuwa awamu hii, au iliyopita?Hawa waandishi wanakubaliana ni maswali gani watamuuliza. Kule Marekani wakati Lissu anazungumza na walioitwa wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma US alitokea mmoja akauliza swali kuhusu alipo dereva wa Lissu basi mabaunsa walimtoa kwenye mkutano kama haini.
Lissu mwenyewe amepamiss mahakamani, Wewe unataka Mamlaka ijichanganye ili impe mtaji wa kisiasa! Unaakili kweli wewe??Hbr,mie ninavyojua Urais ni taassisi,kutuhumiwa kwa jpm ni kutuhumiwa kwa serikali na mamlaka,lkn cha kushangaza serikali ipo kimya,mama pia yupo kimya Najiuluza huu ukimya unaashilia nini?, au ndio utakekezaji wa mashariti ya maridhiano?
Inategemea ni majukumu gani kwani tunafanana Mzee wa wageni wa dili ππππMtu mwenye majukumu elite awezi shinda JF juzi tu nimepokea wageni wenye deal zao za mamillioni ata kushiriki sikutaka pamoja na kuniomba niwasindikize.
Pamoja na wizi wao ushabiki wao una afadhali ya wewe kibibi cha kimanga.
Wewe ni WA kuuzwa huna impacts sawa tuu na wale machoko wenzako wanaojitangaza huko fb,insta nk kutafuta dokoKama nilivyokupa sura yangu, mimi najiamini unlike you bibi wa kiarabu.
Rare Sapphire ββββββββKwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 Lissu amesema aliyetoa mari, masaa mawili kabla hajapigwa risasi alisema kulikua na mtu anahutubia na kwenye hotuba yake alikuwa anapokea ripoti ya Bunge ya madini ya Almasi na Tanzanite, moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba hiyo ni;
"Wale wanaopinga nchi wakati tupo kwenye vita ya kiuchumi nyie wanajeshi mnajua huwa wanafanywaje, hawastahili kuishi."
Ambapo masaa mawili baadae Lissu alishambuliwa Dodoma, akisema bayana kuwa anayemuongelea ni Hayati John Pombe Magufuli, ambapo hata baada ya tukio hilo Rais Magufuli hakuwahi kusema chochote juu ya shambulio hilo.
View attachment 2504783
Huna akili.Ilikuwa awamu hii, au iliyopita?
Anza kuyajibu sasaMaswali mengine yanashangaza
Hiyo ndio tofauti yetu ata kama sina nafasi ya kuongelea hustle za watu hasa waliofunguka kwa kuniamini (trust is important) halafu ni maafisa usalama wakikwambia na huo wizi wa mawaziri unaongelea unabaki unajiuliza haya yote unaniambia mimi ili iweje.Inategemea ni majukumu gani kwani tunafanana Mzee wa wageni wa dili ππππ
Labda watasaidia kukupunguzia njaa uache kulalamika π€£π€£
Kaburi au nini?Mtuhumiwa si ni Maghufuli wakamkamate
Labda wameridhia ni kweli, kama na wao ni maadui wa Magufuli? Hivyo mwenye kiuno mpindo cha sebene kapita kwenye njia, likilema linateseka na vyuma hadi sasa haliwezi kula mbususu.Hbr,mie ninavyojua Urais ni taassisi,kutuhumiwa kwa jpm ni kutuhumiwa kwa serikali na mamlaka,lkn cha kushangaza serikali ipo kimya,mama pia yupo kimya Najiuluza huu ukimya unaashilia nini?, au ndio utakekezaji wa mashariti ya maridhiano?
Huelewi na hujui usemalo..!Upo irrelevant. Alichopitia ni swala la uhalifu. Kushambuliwa ni crime kama crime nyingine. Yeye alishambuliwa na wahalifu kwa kumiminiwa risasi. Je magufuri alikuwapo eneo la tukio?!
Je, kuwa raisi ina maanisha uhalifu wowote ukitokea ni wewe umesababisha au umeagiza ufanyike?!
Vyombo vya usalama vipo, wahusika wanajulikana, kwann kama yeye anatafuta haki yake asikomalie waliopo hai na walihusika kuchukuliwa hatua anamtaja mtu ambaye kwanza hakuwapo eneo la tukio, hakushika silaha kumshambulia, na siajabu tukio likiwa linatokea hakuwa akijua lolote hadi akipotaarifiwa?!
I think kwenye hili swala nyie mnaomsapoti tundulisu mnafeli kufikiria sawa sawa kwamba hapa kuna hali ya namna gani.
Huenda wanajua alipoKaburi au nini?