Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Hawa waandishi wanakubaliana ni maswali gani watamuuliza. Kule Marekani wakati Lissu anazungumza na walioitwa wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma US alitokea mmoja akauliza swali kuhusu alipo dereva wa Lissu basi mabaunsa walimtoa kwenye mkutano kama haini.
Ilikuwa awamu hii, au iliyopita?
 
Hbr,mie ninavyojua Urais ni taassisi,kutuhumiwa kwa jpm ni kutuhumiwa kwa serikali na mamlaka,lkn cha kushangaza serikali ipo kimya,mama pia yupo kimya Najiuluza huu ukimya unaashilia nini?, au ndio utakekezaji wa mashariti ya maridhiano?
Lissu mwenyewe amepamiss mahakamani, Wewe unataka Mamlaka ijichanganye ili impe mtaji wa kisiasa! Unaakili kweli wewe??
 
Mtu mwenye majukumu elite awezi shinda JF juzi tu nimepokea wageni wenye deal zao za mamillioni ata kushiriki sikutaka pamoja na kuniomba niwasindikize.

Pamoja na wizi wao ushabiki wao una afadhali ya wewe kibibi cha kimanga.
Inategemea ni majukumu gani kwani tunafanana Mzee wa wageni wa dili 😁😁😁😁

Labda watasaidia kukupunguzia njaa uache kulalamika 🤣🤣
 

Kama ndio umefikiria hadi ukafika mwisho na ukaona haya maswali yako yanaweza kuibua hoja za kumtetea huyo unayemtetea dhidi ya shambulio la Lissu basi nimeamini hayo masifuri huko shuleni mnayapata kwa haki kabisa.
 
Kwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 Lissu amesema aliyetoa mari, masaa mawili kabla hajapigwa risasi alisema kulikua na mtu anahutubia na kwenye hotuba yake alikuwa anapokea ripoti ya Bunge ya madini ya Almasi na Tanzanite, moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba hiyo ni;

"Wale wanaopinga nchi wakati tupo kwenye vita ya kiuchumi nyie wanajeshi mnajua huwa wanafanywaje, hawastahili kuishi."

Ambapo masaa mawili baadae Lissu alishambuliwa Dodoma, akisema bayana kuwa anayemuongelea ni Hayati John Pombe Magufuli, ambapo hata baada ya tukio hilo Rais Magufuli hakuwahi kusema chochote juu ya shambulio hilo.

View attachment 2504783
Rare Sapphire √√√√√√√√

Hakika unafukia mashimo vizuri sana yaliyochimbwa na mahasimu wa CHADEMA kumchafua Makamu Mwenyekiti wetu..

Nadhani sasa watafute vihoja vingine..
 
Mamlaka ipi? Wote wamoja wana Bosi mmoja, jiulize Ndege yetu iliyoshikwa Uholanzi nini kinaendelea? Nani aliipeleka Uholanzi ili ikamatwe? Fikiria nchi kama Kenya, Kenya Airways ishikwe nje ya nchi huo moto wake lkn hii nchi haina mwenyewe, ni foreigners tu!
 
Inategemea ni majukumu gani kwani tunafanana Mzee wa wageni wa dili 😁😁😁😁

Labda watasaidia kukupunguzia njaa uache kulalamika 🤣🤣
Hiyo ndio tofauti yetu ata kama sina nafasi ya kuongelea hustle za watu hasa waliofunguka kwa kuniamini (trust is important) halafu ni maafisa usalama wakikwambia na huo wizi wa mawaziri unaongelea unabaki unajiuliza haya yote unaniambia mimi ili iweje.

Ndio ujue hata kama sina amani ya kushiriki kwenye deal za ovyo, lakini unazi wao una afadhali ya wewe kibibi cha kimanga ambae una uchungu kabisa na walalahoi unaetetea kila ujinga.
 
Ni nani asiyejua kuwa kama Magufuli alitaka kula wali, basi akatokea mtu akasema wali sio mzuri basi moja kwa moja huyo anayesema wali sio mzuri anageuka kuwa msaliti kwa taifa?
 
Hbr,mie ninavyojua Urais ni taassisi,kutuhumiwa kwa jpm ni kutuhumiwa kwa serikali na mamlaka,lkn cha kushangaza serikali ipo kimya,mama pia yupo kimya Najiuluza huu ukimya unaashilia nini?, au ndio utakekezaji wa mashariti ya maridhiano?
Labda wameridhia ni kweli, kama na wao ni maadui wa Magufuli? Hivyo mwenye kiuno mpindo cha sebene kapita kwenye njia, likilema linateseka na vyuma hadi sasa haliwezi kula mbususu.
 
Upo irrelevant. Alichopitia ni swala la uhalifu. Kushambuliwa ni crime kama crime nyingine. Yeye alishambuliwa na wahalifu kwa kumiminiwa risasi. Je magufuri alikuwapo eneo la tukio?!

Je, kuwa raisi ina maanisha uhalifu wowote ukitokea ni wewe umesababisha au umeagiza ufanyike?!

Vyombo vya usalama vipo, wahusika wanajulikana, kwann kama yeye anatafuta haki yake asikomalie waliopo hai na walihusika kuchukuliwa hatua anamtaja mtu ambaye kwanza hakuwapo eneo la tukio, hakushika silaha kumshambulia, na siajabu tukio likiwa linatokea hakuwa akijua lolote hadi akipotaarifiwa?!

I think kwenye hili swala nyie mnaomsapoti tundulisu mnafeli kufikiria sawa sawa kwamba hapa kuna hali ya namna gani.
Huelewi na hujui usemalo..!

Si nyie haohao huwa mnasema "Rais ni taasisi?"

Kama ni taasisi unashindwaje kuelewa kuwa Rais wa JMT yuko responsible na kila kinachotokea ndani ya nchi yake..?

Unafikiri Paul Makonda mratibu na msimamizi wa shambulio lile alitumwa na nani?

Najua utasema "una ushahidi'" kuwa Paul Makonda alihusika?

JIBU NI: Waambie nduguzo polisi wafanye kazi yao ndo utajua Kuna ushahidi' au la...!!
 
Uzuzu wa mtoa hoja na uchawa wako unakusumbua,ni wajibu wa police kutoa ripoti yao ya uchunguzi, elewa Mr.Lissu ni victim SIO suspect!!,nani alituloga watanzania mpaka tunashindwa kuelewa vitu rahisi kama hivi?,but wewe mtoa hoja ni limiting katili sana
 
Back
Top Bottom