Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Tunazungumzia jaribio la dikteta Magufuli la kutaka kumwua Lisu. Hayo mengine, kama una hoja, anzisha mada yako.
Ingekuwa kweli angepigwa Risasi za mguu?

Msiwe Matutusa uliwahi kuiona clip ya yule mwandishi pale Nyororo?
 
Utaelezwa mpaka lini ili akili yako ielewe?
Kwa akili za kishamba za yule jamaa kila aliyekuwa anapinga hoja zake za kijinga alikuwa msaliti wa nchi, kwani aliamini yeye ndio Tanzania!
Onesha maelezo ni wapi aloposema yeye ndio nchi?

Lisu anasema alipigwa risasi sababu Magu alisema msaliti hapaswi kuishi!

Je yeye lisu alikuwa msaliti wa nchi?
 
Chadema yenyewe inaongozwa kidikteta

Nyalandu anadai alishinda nafasi ya makamu Mwenyekiti lakini kura zake akapewa Tundu Lisu

Mbowe peke yake aliamua kumleta Lowassa na Kamati kuu yote ikamgwaya

Unaendekeza propaganda za kipuuzi hadi unajichanganya. Kuna siku Nyalandu aliwahi kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti?
 
Onesha maelezo ni wapi aloposema yeye ndio nchi?

Lisu anasema alipigwa risasi sababu Magu alisema msaliti hapaswi kuishi!

Je yeye lisu alikuwa msaliti wa nchi?

Magufuli alikuwa anajiona ndio nchi? Hivyo mtu yoyote aliyekuwa anampinga alikuwa anageuza anapinga nchi?
 
Unaendekeza propaganda za kipuuzi hadi unajichanganya. Kuna siku Nyalandu aliwahi kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti?
Kumbe unajua mlikoiba kura zake dadeki!

Alikampeni nchi nzima akiungwa mkono na mwenyekiti mkaja kumtenda kama Dr Slaa
 
Lema alisema yaweza kuwa inside job ... Hapa ni kuishi kwa mashaka na member wenzio Hadi Mwisho checka ukiwa nao ukiondoka sio wale.
Sio rahisi hivyo.... Siku hiyo hiyo Mbowe angenyongwa na Chadema ingefutiwa usajili. Kama tu walifungwa kwa sababu ya maandamano ndio sembuse mauaji?
 
Jaji au hakimu hutoa hukumu kulingana na mazingira ya tukio,baada ya lile tukio la kishetani lililofanywa shetani na jamaa zake kila mwenye akili timamu anajua nan muhusika wa ule mpango
Judges act on facts, not speculations, learned brother.
 
Dikteta Magufuli alikuwa ni muuaji na anayepinga ni upumbavu wake tu kwani kuna watu hawajulikani walipo hadi leo na serikali iko kimya.

Mungu alifanya kinachostahili kumuondoa mapema kwani angeendelea kubaki madarakani labda angekufa kifo kibaya zaidi huyo dikteta.
 
Saizi Mwendazake anapambana na moto huko 😁😁
 
Hata wanaomtetea wanajua kuwa yule bwana alikuwa muuaji lakini wanamtetea kwa sababu na wao huenda ni wauaji.
 
Mwalimu mzima unatetea ujinga!! Alikuwepo Cyprian Musiba au umesahau? No wonder kwa akili hizi mwalimu utaendelea kutumika kama toilet pepa na sisiem
 
Huyu bwachu awe makini na maneno anayoyaropoka. Mungu ibariki Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…